AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
AiseeNa mimi huwa sipendi zile purukushani
Mara mtu amekuanikia kwapa lake usoni,linanuuka.
Kukwepa yote huwa nakaa mbele.



Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
AiseeNa mimi huwa sipendi zile purukushani
Mara mtu amekuanikia kwapa lake usoni,linanuuka.
Kukwepa yote huwa nakaa mbele.



Mkome😂Urudi tu kwenu mana tumekuchoka sasa 😂😂
huwa inakera mara konda apite kila saa , mtu akuegemee tu.Na mimi huwa sipendi zile purukushani
Mara mtu amekuanikia kwapa lake usoni,linanuuka.
Kukwepa yote huwa nakaa mbele.
Mwingine anasimama huku mwili wote amekuegamishia..
Na makonda wanavyokua kuwa wachafu sasa.huwa inakera mara konda apite kila saa , mtu akuegemee tu.
usafiri mgumu sana nipo radhi nigeuze tu na gari kupata seat
yaani shida tupuNa makonda wanavyokua kuwa wachafu sasa.
Wachache sana wanaoga.
Tena wakati wa mvua jua linawaka mnasweat halafu mvua inawanyeshea.yaani shida tupu
ndo usafiri wetu huo
wakati wa mvua ndo sielewagi yaani mtu kavaaa nguo inanuka uvundo halaf uko naye pembeni dah
Umemtaja huyo mtu roho yangu imeumia![]()

duh pole , huko mwendokasi ndo balaaa , harufu mixer na watu wamejazana nyomiTena wakati wa mvua jua linawaka mnasweat halafu mvua inawanyeshea.
Sisi wa mwendokasi za gerezani tunapanda na watu walioliochanganya harufu ya jasho na uvundo wa nguo .
Kuna siku nilitaka kuzimia urafiki pale Kwa kukosa hewa..
Gari dimefurika fulii na jioni kupata siti ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindano.
Cheki supermarketsInapatikana wapi hii
Ndio kaka
🤣🤣🤣Tena wakati wa mvua jua linawaka mnasweat halafu mvua inawanyeshea.
Sisi wa mwendokasi za gerezani tunapanda na watu walioliochanganya harufu ya jasho na uvundo wa nguo .
Kuna siku nilitaka kuzimia urafiki pale Kwa kukosa hewa..
Gari imefurika fulii na jioni kupata siti ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindano.
ya kimara na mbezi duh yanajaza hadi mlangoni .Tena wakati wa mvua jua linawaka mnasweat halafu mvua inawanyeshea.
Sisi wa mwendokasi za gerezani tunapanda na watu walioliochanganya harufu ya jasho na uvundo wa nguo .
Kuna siku nilitaka kuzimia urafiki pale Kwa kukosa hewa..
Gari imefurika fulii na jioni kupata siti ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindano.
Sasa bora la Kimara😁ya kimara na mbezi duh yanajaza hadi mlangoni .
usafiri mgumu huo duh ,
Unaweza ona nachekesha😂
Tuamkie kwanza wakubwa