cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
B yuko sahihi kutosema, na A hayuko sahihi kukata urafiki. Unless iwe vinginevyo kat ya B na bwana ake A.Nyie naomba niwaulize ,ikitokea mko marafiki A na B mtu ,A Ana bwana ake,akatongoza B Ila akakataa kulinda heshima ya urafiki na hakusema ,chochote pia kuhofia mahusiano yao yasife,then wewe unaendelea na ukaribu wako na wote wawili,at last A akajua kua mpenzi wake anatongoza B,akiambiwa na mtu mwingine kabisaa...
Shoga anavunja urafiki na B ,kisa bwana ake katongoza B hakusema.
Je B alikua sahihi kutosema kua shemeji anamtongoza?Na A Yuko sahihi kukata urafiki pia?
Hebu naomba mawazo yenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa upande wangu lakiniiiii




.


