Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uke wenzaa kawaachia wanaoweza
Me na mtoto wa mtu sio shida zetu
Penzi kiapo tushajichongea jeneza
Ai papii vitamu tamu chombeza

Penzi liwashe kabisa likoleee
Ukipasua moyo wangu uko wewee
Likamate misumari ugongeleee
Si unajua navyokupenda weee
Dj aiiiiiiiii
Lenie View attachment 2359309
huu wimbo, niliwah snap nao, nkatuma status tsup, watu walifurika kunihoji woiiiiiiih.

Mtoto wa mtu anapendwaaaa.
 
Wanawake wengi wana vifurushi ila hawajui.

Mie nina uhakika pale nilipo jiunga kifushi, Kwa macho unaingia kingi yule mrimbwende ni msafi na hata ndani msafi msomi. Nilipo jua nilifikiria nimuambie ila nikaona hapa nitaambiwa mie ndio nimempa yazuke mengine, nikapiga kimya.. Aendelee kuwaungisha bundle wengine.. Ila vijana sasa hivi hawana hofu na nina hisi kama magonjwa yame expire vile maana ukipita maeneo flani hali ni mbaya kweli kweli
Wiki chache nilikuwa hapo kwa majirani zetu

Jioni nikawa nimetoka kuangalia mji na vilivyomo

Nimezunguka kiasi then nikaona chimbo limenivutia nikasema ngoja niweke kambi

Huenda nikaambulia Tasi au Chewa

Bhas kidogo ikaingia nguva kali ina tako kama la khumbu

Ikaja kuketi karibu na nilipo nikaelewa tu huyu yupo mawindoni

Kutest zari imooo tukala tukanywa

Sasa umewadia wakati tukamalizie jioni yetu duh salalee

Ile manzi anatoa viwalo balaa likaanzia hapo

Room yote ikageuka harufu ya ng'onda nilichofanya ni kubip kwa mwenzangu akapiga

Nikajiongelesha uongo ukweli nikamrejea bibie oyaa ajent anahitaji mzigo usiku huu

Hivyo wewe lala narudi nikamlipa kabisa nikasepa na sikurudi
 
IMG_20220917_203902_599.jpg

Full tank ya kuendea shambani kesho ⛽.

Credit Kwa Wajukuu kufanikisha hili 🤸🤗
 
Back
Top Bottom