National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Najiandaa nikupitie 😉😉Saa ngapi??😊😊
Najiandaa nikupitie 😉😉Saa ngapi??😊😊
Salama jirani, weekend inaendaje kwako.Niko poa jirani, za wewe
Thank you tribal. 😂Picha kali ila emoj sasa 😁
Sura yangu ipo kwenye Avatar yangu hapo juu. 🙂Toa emoji jamaniiiiii![]()
Utakuta nimemaliza...Najiandaa nikupitie 😉😉
Mazee! Pole sana aisee, haya mambo yanahitaji kuwa makini sana. Kila mtu umwangalie kama SUSPECT.Nilisafiri kikazi, nimekaa karibia miezi sita bila kufumania nyavu, kulikuwa na mwadamu mmoja kisu kweli kweli. Siku ya mwisho nikasema acha nijaribu pindua a meza ili hata akinitoa nishai sipo nitakuwa nimesepa. Ngoma night kiwanja flani nimetingisha kiberiti kikawaka. Asubuhi nimeanza safari kati kati ya safari nahisi vitu vinatoka tu, gusa kama kufuta kiaina, wapi nikasema acha nizame toilet kujiangalia hivi naona maji meupe mazito nikasema hii nini? Badae nika share na jamaa yangu tulisoma nae akanielezea nikaona tayari device connected.
Mtihani ukawa narudije nyumbani, maana mwenzangu ilikuwa ukifika anaruka mazima kucheki kama umetumika au vipi... Ilibidi niue safari kwa emergency kwanza nikapate tiba, kula sindano kula drip saba ili kuondoa uchafu wote na kusafisha damu. Ndio Nikarudi home kwa ujasiri 🤠🤠🤠.. Ujue hata wewe mwenyewe mtibiwaje unaona hayaa.. Niliumia sana nikasema siku moja imekuja niabisha.. ile kitu unaoneka mbwaaa tu hata kama umeipata kwa kuepeana mikono na mtu mwenye nayo.. maana kama mikono ya mtu inajosha na yupo nayo mkashikana unaweza chukua kifurushi kiroho safi
MALCOM LUMUMBA
Kweli inatakiwa uwe sensitive sanaMazee! Pole sana aisee, haya mambo yanahitaji kuwa makini sana. Kila mtu umwangalie kama SUSPECT.
Watu ni CARRIERS wa magonjwa ya ajabu kweli yani, tena wengine huwezi hata kuwategemea kabisa.
Usipopata magonjwa ni lazima utoke na mikosi na gundu.....
Imekukuta niniNyie naomba niwaulize ,ikitokea mko marafiki A na B mtu ,A Ana bwana ake,akatongoza B Ila akakataa kulinda heshima ya urafiki na hakusema ,chochote pia kuhofia mahusiano yao yasife,then wewe unaendelea na ukaribu wako na wote wawili,at last A akajua kua mpenzi wake anatongoza B,akiambiwa na mtu mwingine kabisaa...
Shoga anavunja urafiki na B ,kisa bwana ake katongoza B hakusema.
Je B alikua sahihi kutosema kua shemeji anamtongoza?Na A Yuko sahihi kukata urafiki pia?
Hebu naomba mawazo yenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mikosi kama ipiUsipopata magonjwa ni lazima utoke na mikosi na gundu.....
Mazee, itoshe tu kusema kwamba usiparamie kila mtu!
Kweli ni kula kwa macho tuMazee, itoshe tu kusema kwamba usiparamie kila mtu!
Shida ya hili, lina jificha vibaya sana kwa wadada. Nilichoshukuru mwili wangu kuwa active, nafikiri haikupita hata masaa matano mwili uka react.. Tokea hapo siingii kingi aisee.. Kila mtu nikiona naona kama analo na hata kupeana mikono na watu kizembe nimeacha.. Hadi nimpe mtu mkono wangu nime muheshimu sana 🤠🤠Mazee! Pole sana aisee, haya mambo yanahitaji kuwa makini sana. Kila mtu umwangalie kama SUSPECT.
Watu ni CARRIERS wa magonjwa ya ajabu kweli yani, tena wengine huwezi hata kuwategemea kabisa.
🤠🤠🤠 Upendezee kama kawaida yakoUtakuta nimemaliza...View attachment 2359892
Dah mapito waga yana fundisha sanaShida ya hili, lina jificha vibaya sana kwa wadada. Nilichoshukuru mwili wangu kuwa active, nafikiri haikupita hata masaa matano mwili uka react.. Tokea hapo siingii kingi aisee.. Kila mtu nikiona naona kama analo na hata kupeana mikono na watu kizembe nimeacha.. Hadi nimpe mtu mkono wangu nime muheshimu sana![]()
Bora miaka ya hivi karibuni Gono au Kaswende zinatibika kirahisi.Acha kabisa, huo ugonjwa ni wa aibu kabisa. Kwanza unafanya ukosefu utulivu mwilini pili matibabu yake kama unakomolewaa 🤠🤠🤠.. Wakati ndio unatibiwa.
KweliBora miaka ya hivi karibuni Gono au Kaswende zinatibika kirahisi.
Miaka ya 80' kabla mgonjwa wa kwanza wa HIV kugundulika kule Bukoba, Hizo Gono na Kaswende ndiyo yalikuwa habari ya Mjini. Na matibabu yake ndiyo ilikuwa shida zaidi manake Ilikuwa wanatumia zile Sindano kubwa kubwa hivi ambazo ukichomwa Sindano Moja unajikuta unaugulia maumivu Wiki nzima.
Kama ulivyosema hayo magonjwa yamekuwa ni ya aibu sana miaka ya hivi karibuni, manake unakuta hata Nesi mwenyewe anayekuchoma Sindano ana kusema kuwa unaendekeza Dry huku akishindilia Sindano nzito nzito kwenye mwili
Vijana wahimizwe kuhusu ngono salama
Umenikumbusha mbali sana hilo neno "Kudip" 😂Unidip
Sindano zake kali sana, ilibidi niingie gharama kutiwa na wageni kuepuka kusimwanga, maana nilikuwa mwenyewe najilaimu kosa la siku moja limeleta aibu, jamaa walichoma kasindano kadogo tu kamoja, then drip ( vile vidogo) ndani ya dk 10 kameisha, then kuna machine wakawa wana niweke kwenye kibofu hivi kama dk nne.. Kwa mda wa siku saba, ili wao kujirizisha ila ndani ya siku ya siku mbili ile hali ilipotea kabisa. Shida hii wao wanajua mlaji wa mizoga, kumbe wakati mwingine sio ila ndio ivyo huwezi jitetea 😂😂😂.. Kuna rafiki yangu tulikuwa nae chuo yeye alikuwa chronic hadi akawa anatembea na ka sindano ka kujidunga maana ilimla kisawa sawaBora miaka ya hivi karibuni Gono au Kaswende zinatibika kirahisi.
Miaka ya 80' kabla mgonjwa wa kwanza wa HIV kugundulika kule Bukoba, Hizo Gono na Kaswende ndiyo yalikuwa habari ya Mjini. Na matibabu yake ndiyo ilikuwa shida zaidi manake Ilikuwa wanatumia zile Sindano kubwa kubwa hivi ambazo ukichomwa Sindano Moja unajikuta unaugulia maumivu Wiki nzima.
Kama ulivyosema hayo magonjwa yamekuwa ni ya aibu sana miaka ya hivi karibuni, manake unakuta hata Nesi mwenyewe anayekuchoma Sindano ana kusema kuwa unaendekeza Dry huku akishindilia Sindano nzito nzito kwenye mwili 🙆
Vijana wahimizwe kuhusu ngono salama