Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weeeee linakufata kutaka nini kwako sasa shost akeee msaganeeeee ama nene shost akee???
Hakuna jipyaaaaa humu ukiukanyaga unauvagaaaa kivyakkkooo shost anguu!!!
Au ukute mwingine anataka kukujua tyu kuthibitisha anayoyasikia labdaaaa
Jf msitu mneneeee!!! Ni kua makuni mnoooo!!
na nilimfurahisha mbonaaaaaa. Watu wamevurugwa na lifeee, wanataka kupumzikiaa kwangu, wananijua wananisikia????


Uwiiiiiiiiih
 
Nature iko hvyoand we can't change

Then kwenye machaguoa hakuna mkamilifu my dear,angalia Kati ya zile amekidhi ngapi?we unahitaji Nini ?maana ukitaka mwenye vyote hayupo
Na kukaa kumsubiri kwa Sasa ni wachache wanapatikana kwa staili hyo,waweza ukawa upo jf kumbe ndo wako Mungu amekupangia umpate humu hvyoo,so popote mpenzi wa kweli anapatikana muhimu bi masharti na vigezo ,ukiona hakidhi we mteme tuuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
👏👏👏
 
Back
Top Bottom