Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani nina swaliii

Mkishiba chai mje tujadili..


Qn: wanaume unakuta ana wanawake wa3, anawamiliki wote … katika kuwamiliki hao anakuwa anachagua yupi atatangazwa msikitiki ama Kanisani.

Ila mwanamke akifanya jambo kama hilo alilofanya Mwanaume ye jamii inamuona sio mtulivu ati ni ka malaya 😂😂
Kwahiyo mwanamke ye hana chaguzi zake?
Kwahiyo mwanamke hatakiwi kuwa na wanaume wake wawili awachunguuuze ndio ampate Mr. right wake?

Mjee Mseme both Me & Ke
Si wanajiendekeza tu
Halafu uwakute sasa hao wanaume wanaomjadili dada aliyechepuka!
Ni malaya wa kupindukia 😁
 
Nature iko hvyoand we can't change

Then kwenye machaguoa hakuna mkamilifu my dear,angalia Kati ya zile amekidhi ngapi?we unahitaji Nini ?maana ukitaka mwenye vyote hayupo
Na kukaa kumsubiri kwa Sasa ni wachache wanapatikana kwa staili hyo,waweza ukawa upo jf kumbe ndo wako Mungu amekupangia umpate humu hvyoo,so popote mpenzi wa kweli anapatikana muhimu bi masharti na vigezo ,ukiona hakidhi we mteme tuuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unataka uingie mzigoni jichanganye alafu mimi sijasema ukae umusubiri ishu ni kuchagamukia fursa
 
Back
Top Bottom