Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooooo. Huyu ni mwinginee,

Yuleee huwa tunacharuaaaanaaaaaa PM, afu sasaa kumbeee mwanzoni had no angu alikua nayo ya zaman kabla ya hii ya sasa, nakumbuka alitakaa sana tukutaneee, nkamtoleaaa nje. Na huyu nae ana ID 2. JF lol.

Eti kasemaga ningejichanganya kukutana nae, angenionesha upande wa pili wa Dunia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nacheeeeekaaa lol.
Mwingine tena 🙆‍♀️
Sasa wanakutafutia nini kila uchwao?

Upande mwingine wa dunia ukoje 🤣🤣🤣🤣🤣
 
[emoji87][emoji87][emoji87] nimeumbuka live
Naondoka huku nikiweweseka kiwenda wazimu....[emoji125][emoji125][emoji125]
Weee Mr vochaaaa, Umma wa JF unatambua kwamba mie natamba na vocha za buku buku kutoka kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya nitumie hizo vocha nitambeee zaidi,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nilimfurahisha mbonaaaaaa. Watu wamevurugwa na lifeee, wanataka kupumzikiaa kwangu, wananijua wananisikia????


Uwiiiiiiiiih
Hawakujuiiiii wanakusikiaa tyu shoste akee!!! Waingie kizembe uwanyooshe akili iwakae sawa kwanza hahaha!!
This is jf banaaa!!
 
Mbonaaaa nimetuliaaa Hakyanani kupatwa kwa cocasticccc[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Sasa hakujua wee mafia mdeadly ulieshindikana kabisaaaa alipatajee ujasiri kufata hiko kichwaa mbovu Akili zako unaezijua mwenyeweeee hahahahah!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu waliovurugwaaaa ndo nawatakaaaa niwatulizeeee, watu wanalala pazuri,wanakula vizuri, wanakunywa vizuriii, wanaishi expensive life, yaan hawana shida ndogo ndogo.

Ila sasa mie nawatesa, yaaan wakinisikia na kuona comments zangu, furaha na amani kwao vinayeyukaaaaa, yeyuuuuuuuuuuu!!!


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], km kunichukia hawawezi basis wanipendeeeeee hata kinafiki hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom