AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
Imeandikwa wapi
Imeandikwa wapi
😂😂😂😆😆😆😆 Kanatoka kama ka takatifuu kumbe...
Imeandikwa wapi
🤠🤠🤠🤠 Na sie tuka test kusafisha kutu badae😂😂😂
Ila ni katakatifu kale lakini sometime, mpendwa katika Bwana
National Anthem anasema hajawahi kuona pisi kali kama weweAbee kuna nini 🤣🤣🤣
Mko deepMwanzo 3:16
Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
Mwanzo 3:18
michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
Mwanzo 3:19
kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
🤠🤠🤠 Unakata chuma, moto unapelekwaaa unausikia unavyochoma hadi kisogoniItabidi tumuazime Depal ile zana yenye chuma ndio practice iende vema au unaonaje
Tobaaa😂😂😂😂Nasubiria ile naked yako captain Post M-alone alisema uniwekee hata asipokuepo
Gafla tu macho yametua hapo kwenye zipuView attachment 2357835
Siku moja moja sio mbaya unakutana na Wazee wenzako mnakula stori kama hivi kukumbukia Enzi.
Anza kujizoesha hili mapema ili ukifika umri wa Uzee kama wangu usipate shida ya upweke wakati huo Bibi anakuwa amekwenda kusalimia Wajukuu zake DSM
Hello Thursday![]()
Acha uchoyo ndio usiende motoniSiwapi
Hakii Anne siasa zako meshindikana 🙌🙌🙌!! Hebu Ibariki Jioni yangu pullliiiiiiizzzz ubuyu bado sijapata naisubiria hebu anza nahio naked bamaa acha janja janja zakoo AnneTobaaa😂😂😂😂
Kumbe ulisoma?
Si tulikubaliana Jana hukuwepo
I mis you more.....And I know we're not supposed to talk
But I'm getting ahead of myself
I get scared when we're not
'Cause I'm scared you're with somebody else
So I guess that it's gone
And I just keep lying to myself
I can't believe it
I, I miss you, yeah I miss you
I miss you, yeah I miss you, oh I do
I miss you, yeah I miss you
Though I'm tryin' not to right now
🤠🤠🤠 Na wewe basi utashiriki mbio fupi, tupe 🙄🙄Siwapi
Utamhadithia Capteni kuwaHakii Anne siasa zako meshindikana 🙌🙌🙌!! Hebu Ibariki Jioni yangu pullliiiiiiizzzz ubuyu bado sijapata naisubiria hebu anza nahio naked bamaa acha janja janja zakoo Anne