reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,426
- 29,306
Dogo asili ya mwanamme ni utawala hakuna boma Lina mafahari wawili wakaacha kupigana ,angalia tu mfano mifugo jogii wakubwa wakiwa wawili watapigana mpk kutoana damu,ng'ombe pia n.kJamani nina swaliii
Mkishiba chai mje tujadili..
Qn: wanaume unakuta ana wanawake wa3, anawamiliki wote … katika kuwamiliki hao anakuwa anachagua yupi atatangazwa msikitiki ama Kanisani.
Ila mwanamke akifanya jambo kama hilo alilofanya Mwanaume ye jamii inamuona sio mtulivu ati ni ka malaya![]()
Kwahiyo mwanamke ye hana chaguzi zake?
Kwahiyo mwanamke hatakiwi kuwa na wanaume wake wawili awachunguuuze ndio ampate Mr. right wake?
Mjee Mseme both Me & Ke
Hvyo mwanamke ameumbiwa mme mmoja kiasili kabisaa,Ila mwanaume ameumbiwa wanawake wengi,hakuna taifa lenye watawala wawili ni mmoja tu ndo anatambulika
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

