Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 tuko uwanjani tunatafuta hizo hela

Ila hiyo ni kma brunch nyonyoma 🤣

Kuwa serious muda wote utachakaa akili 😁
🤠🤠 Sasa kama hivi unanipenda na mwanangu an anipenda inatosha.. Hapa kuna vitu wehu wanachanganya kati ya mapenzi na upendo.. Watu tunahitaji kupendwa sio mapenzi.. Na upendo hauna baya, upendo ni kamilifu.. Ila mapenzi ni scum tu
 
acha tuongee tu hapa ndo uwanja wetu wa kujieleza .
hatuna mashost wa kuhadithia .. kama vile slogan ya Jf inavyosema .

kukaa na mambo moyoni sio poa ... ndo ulcers zinanzia hapa , time is the best healer , tutaongea hapa end of the day tutasahau
Surely dada mpole 💕

Kuongea kunapunguza uchungu na kitu kilichokukaba kooni… na hasira pia
 
Back
Top Bottom