Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
wapo ndioKwan Kuna mtu hajawahi kuumizwa acha kukata tamaa Sema uliyempata hakuwa sahihi kwako
ila hapana mimi nakuwaga mjinga sana , naonyesha kabusa hapo nimedata .
sasa sitaki hivyo tena .
mahusiano mengine nikiachwa niwe zangu tu fresh ,