Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Na mtaachana tenaHatuachani ng'oooo
Mlishatuachanisha tukarudiana
Na safiri hii hamtarudiana
Na mtaachana tenaHatuachani ng'oooo
Mlishatuachanisha tukarudiana
Swali? Haya acha nilisakeNina swali hapo chini
Lisake unijibu
Achana na mapedhi shoga angu 🤣🤣
Na unawachanganya kwahyo National Anthem ushamuachaWeee sio leo wala kesho
Shindwaaaa 😂
Anawachuziii 🤣Na unawachanganya kwahyo National Anthem ushamuacha
Usake na tochiSwali? Haya acha nilisake
Mapenzi muhimu shoga angu sometime
Hako kaswali kana kitu behindJamani nina swaliii
Mkishiba chai mje tujadili..
Qn: wanaume unakuta ana wanawake wa3, anawamiliki wote … katika kuwamiliki hao anakuwa anachagua yupi atatangazwa msikitiki ama Kanisani.
Ila mwanamke akifanya jambo kama hilo alilofanya Mwanaume ye jamii inamuona sio mtulivu ati ni ka malaya![]()
Kwahiyo mwanamke ye hana chaguzi zake?
Kwahiyo mwanamke hatakiwi kuwa na wanaume wake wawili awachunguuuze ndio ampate Mr. right wake?
Mjee Mseme both Me & Ke

Tulia usituchonganisheNa unawachanganya kwahyo National Anthem ushamuacha
Mwanamke hachagui... Anaenda na yoyote aliye tayariJamani nina swaliii
Mkishiba chai mje tujadili..
Qn: wanaume unakuta ana wanawake wa3, anawamiliki wote … katika kuwamiliki hao anakuwa anachagua yupi atatangazwa msikitiki ama Kanisani.
Ila mwanamke akifanya jambo kama hilo alilofanya Mwanaume ye jamii inamuona sio mtulivu ati ni ka malaya![]()
Kwahiyo mwanamke ye hana chaguzi zake?
Kwahiyo mwanamke hatakiwi kuwa na wanaume wake wawili awachunguuuze ndio ampate Mr. right wake?
Mjee Mseme both Me & Ke
Didi ake imekuaje hadi ukauliza hivyo?Jamani nina swaliii
Mkishiba chai mje tujadili..
Qn: wanaume unakuta ana wanawake wa3, anawamiliki wote … katika kuwamiliki hao anakuwa anachagua yupi atatangazwa msikitiki ama Kanisani.
Ila mwanamke akifanya jambo kama hilo alilofanya Mwanaume ye jamii inamuona sio mtulivu ati ni ka malaya 😂😂
Kwahiyo mwanamke ye hana chaguzi zake?
Kwahiyo mwanamke hatakiwi kuwa na wanaume wake wawili awachunguuuze ndio ampate Mr. right wake?
Mjee Mseme both Me & Ke
Ndo nature ilivyoDidi ake imekuaje hadi ukauliza hivyo?
Anyway ukiacha jamii, wanaume ni wabinafsi by nature.
Mfano mzuri hata humu jukwaani ukipitia nyuzi nying utaona wengi wanasupport mwanamke akicheat basi atimuliwe aachwe ila kwa mwanaume akifanya the same wenyewe wanajitetea kwamba ni nature yao so tuwavumilie. Very selfish creatures
Tuelekeze namna nzuri ya kufanya chaguzi?Kuhusu chaguzi hapo ni kila mtu anatakiwa awe na uchaguzi sema sasa jinsi unavyofanya chaguzi zako ndio kipengele.
Vipi tukuchagulie nasikia uko singleTuelekeze namna nzuri ya kufanya chaguzi?
Nina Juma namuona sio mtulivu nasepa
Naenda kwa Sadiki, naona ni wale wazee wa ngumi mkononi nasepa kwa kuogopa kesho na kesho kutwa atakuja kunivunja mguu kwa kipigo.
Nb: kuna wanaume ni wapigaji by nature, ye hata ukiangusha kijiko atakufokea ili umjibu akubonde.
Naenda kwa John nakuta hakidhi haja zangu zingine, naboreka nasepa
Sikilizia venye jamii itaniwakia![]()



Wewe uko wapi apo
Wewe.....Jamani nina swaliii
Mkishiba chai mje tujadili..
Qn: wanaume unakuta ana wanawake wa3, anawamiliki wote … katika kuwamiliki hao anakuwa anachagua yupi atatangazwa msikitiki ama Kanisani.
Ila mwanamke akifanya jambo kama hilo alilofanya Mwanaume ye jamii inamuona sio mtulivu ati ni ka malaya 😂😂
Kwahiyo mwanamke ye hana chaguzi zake?
Kwahiyo mwanamke hatakiwi kuwa na wanaume wake wawili awachunguuuze ndio ampate Mr. right wake?
Mjee Mseme both Me & Ke
Hapo kwanza inatakiwa ujue no one is perfect as unamuona John chapombe ila wewe hujioni kama ni mvivu au una tabia zingine za ajabu.Tuelekeze namna nzuri ya kufanya chaguzi?
Nina Juma namuona sio mtulivu nasepa
Naenda kwa Sadiki, naona ni wale wazee wa ngumi mkononi nasepa kwa kuogopa kesho na kesho kutwa atakuja kunivunja mguu kwa kipigo.
Nb: kuna wanaume ni wapigaji by nature, ye hata ukiangusha kijiko atakufokea ili umjibu akubonde.
Naenda kwa John nakuta hakidhi haja zangu zingine, naboreka nasepa
Sikilizia venye jamii itaniwakia 😂😂😂
Unaamua kujilipuaHapo kwanza inatakiwa ujue no one is perfect as unamuona John chapombe ila wewe hujioni kama ni mvivu au una tabia zingine za ajabu.
Navyoona ni vema ukawa na yule ambaye changamoto zake unaweza kuzibeba mkakaa mkaongea kila mtu akamuweka wazi mwenzake madhaifu yake then maisha yanasonga.
Maana tukisema tutafute yule ambaye ni full package (tall, dark, handsome, romantic, ananukia vizuribila kusahau acc imetuna hana stress za tozo
) alooo utajikuta kila mtu unamuona hafai sasa mwisho wa siku unaamua tu liwalo na liwe.

