National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
Hujaniamsha alafu nimelala njaa😒😒😒Jamani....ndo umeamua kulala njaa kabisa??😲😲🙁
Hujaniamsha alafu nimelala njaa😒😒😒Jamani....ndo umeamua kulala njaa kabisa??😲😲🙁
Na kuna hii.. Jichagulie tu hapoHii ni sawa na Tsh. 100m
Hiyo mashambani na mjini huna wasi wasi..
We acha tuuuTena sina habariiiii kabisaaa, afu sasa sio shida zetuuuuu.
Weuweeeeeeeeeeee!!!!! Nileteeeeeeeni mtoto wa mama mkwe.
sophy27 shangaziiiii
mawardat dyadyaaaa
Antonnia shougaaaaa uyogaaaaa
View attachment 2357614

Ulirudi kulala saa 12 wakati ni muda wa kuanza kuteseka 😂
Sijambo kabisa jirani, Wewe je..Jirani yangu, mzima?
Me mzima jirani ila njaa inaumaSijambo kabisa jirani, Wewe je..
Ushuani vs ushuani 🤣😂Ulirudi kulala saa 12 wakati ni muda wa kuanza kuteseka 😂


Boss tajir tuma vocha nipo active now tajir wangu mwezi wa 10 uhakika Dada angu nakupaMimi niko poa pia mdogo wangu,
Maisha yamepamba moto tayari nimeshaamka kwenda kuteseka kama anavyo tueleza kila siku shem Carrasco putin
Ww mkulyaNaambiwa mie mrangi au mnyaturu,
Eti ungoni nasingizia, mwingne eti anasema nna lafudhi ya kichaga.
Yaan full kushangaa mie, uwiiiiiiiih



Una uhakika hayupoHuu Uzi umepoa sana.
Nikawa najiuliza tatizo ni ni I, Nikagundua kumbe boss ledi Antonnia Mahondaw hayupo.





Aaah wakishua uko vizuri 😂Ushuani vs ushuani 🤣😂
Nilirudi kitandani.. saa 1 kasoro ukarudi, nikachemsha chap.
Saa 1 na dk 4 nakumbuka ndio niliweka simu kando nikaenda kuoga na kujiandaa..
Na nikawahi vile vile
Kukuamsha kabla 🥞☕️ havijawa tayari isingekuwa poa 🥴🥴Hujaniamsha alafu nimelala njaa😒😒😒