Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
OMY 🏃🏾♀️Lizzy nipitie twende View attachment 2357637
OMY 🏃🏾♀️Lizzy nipitie twende View attachment 2357637
Tanesco sijui wanawachukuliaje watu wa Arusha
Asubuhi yote hii, watu wengine mbona hawana huruma.
pole ndugu
Embu nivute kiti nikae kwa passwordAntonnia
Shougaaaaaaaa uyoga akeeeee upooooo???? Mic u mnooooo!!
Afu nna bonge la ubuyuuuuuuuuuu, guess whattttttttttttttttttt!!!!
Weraaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Jf ya motooooooo shoga mbogaaa!!
Huhuhuhuh, endeleeni kuchorana na kunafikiana, mkifikia hatua ya kumaliza mniambie niwe mchachuaji. Uwiiiiiiiiiiiiiih.

Hivyo hivyo hata kufanya zoezi 😔😔😔Kukuamsha kabla 🥞☕️ havijawa tayari isingekuwa poa 🥴🥴
Nikuwekee na kachori au kababuu 🤠🤠OMY 🏃🏾♀️
Nimeachwa asubuh asubuh kila ikifika asubuh nalia tuAsubuhi yote hii, watu wengine mbona hawana huruma.
Angesubiri japo jua lichomoze vizuri


Na njaa??😲😲😲 I think not!Hivyo hivyo hata kufanya zoezi 😔😔😔
Tafuta mwingine, unamlilia kisa niniNimeachwa asubuh asubuh kila ikifika asubuh nalia tu![]()
Hamna sambusa??? Beef...no 🌶 😊Nikuwekee na kachori au kababuu 🤠🤠
Hata mazoezi ya🚶♂️🚶♂️🚶♂️tu ndaniNa njaa??😲😲😲 I think not!
😉😉😉 Utavikuta, vipo tayari hapaHamna sambusa??? Beef...no 🌶 😊
Hujawahi kumuona mtu ambae njaa inampa kisirani ehhhh??😁😁Hata mazoezi ya🚶♂️🚶♂️🚶♂️tu ndani
naja kukufuta machozi dearNimeachwa asubuh asubuh kila ikifika asubuh nalia tu![]()
Nimekuja shoganguuuuu nakuja tsup sasahiviiii nile ubuyuu mieeee... unafiki mbona ndio pakeee shost anguu ttyunaishi humohumooooo tyuu!! Tenaaaa nna hamu nao hatareeeee!! Waleteeeee waleteeeeeeeeeeeeee shosteeeeeeee!!!!Antonnia
Shougaaaaaaaa uyoga akeeeee upooooo???? Mic u mnooooo!!
Afu nna bonge la ubuyuuuuuuuuuu, guess whattttttttttttttttttt!!!!
Weraaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Jf ya motooooooo shoga mbogaaa!!
Huhuhuhuh, endeleeni kuchorana na kunafikiana, mkifikia hatua ya kumaliza mniambie niwe mchachuaji. Uwiiiiiiiiiiiiiih.
Sio shida zeituuuuu kabisa shoss angu teinnnaaaaaaaaaaaahh!!Tena sina habariiiii kabisaaa, afu sasa sio shida zetuuuuu.
Weuweeeeeeeeeeee!!!!! Nileteeeeeeeni mtoto wa mama mkwe.
sophy27 shangaziiiii
mawardat dyadyaaaa
Antonnia shougaaaaa uyogaaaaa
View attachment 2357614
🤠🤠🤠🤠 Bora hujaniamsha ninge 😵😵😵Hujawahi kumuona mtu ambae njaa inampa kisirani ehhhh??😁😁
🚶🏿 🏃🏿♂️🏋🏾♂️ yapo tu...hayaendi popote.