Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Awapi huku ni tofauti sanaaa msukuma kwanza Hakuna uhalisia hata chembeeee!!!! Huku fimbo ya mbaliiiiii Sitaki hekaheka mieee!! Huku needs lot of time and preparations socially physically mentally spiritually and economically na mambo ni mengi muda mchacheeee arrrgghhhh Wacha nipambane nahali yangu huku
niliko Jf Siwaweziiii!!
JF imekunyoosha, chezea weyeeee
Poleeeeeh
 
Nikutakie usiku mwema wewe mwenye upole, usiye na makuu, thamani yako ipo moyoni, japo kuiona kwa macho ni ngumu, pokea salamu za usiku, ardhi na mbingu zikawe mashaidi wa pendo langu kwako, toa shaka na wasiwasi moyoni, liwake jua mchana ntakupenda, mwezi uchomoze usiku ntakujali, likizo nkipata ntakupeleka ibiza Spain, hela nkizishika ntakununulia Jamii forums, ukiota njozi uote zile mwanana za upendo, ntakuvumilia na kukuheshimu katika furaha na majonzi, usikibane kikohozi cha mapenzi, Poker nipo kukuvusha bahari na yatch ya kifahari, ntakupamba kwa vito vya thamani yaani rubi na almasi, ukihisi kuchoka ntakupeleka sayari ya mars kutembea, hizi ni salamu za usiku, zinatoka kwa huba la kasi kupitia upepo wa baharini, zikufikie habibty wangu tulizo la moyo wangu Antonnia
Kumekuchaaaaaaaa!!!
 
Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzike tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
Mapenzi yamewafikia wenyewe,
 
Na ikitokeaa umemwonaaa mvute chini umwambie mwenzake mii sijiweziiiiii
Yee ndio wa kunifanya nikaponaa mwana wa mwenzieeee haya maradhi ya mapenziiii
.............................................................

Uuuuuuuuuuuuuuuuuu
Bbbeiibeii bebebeiiii ibeeeeeee
Kwenye kivuli cha picha yangu nakuona wewe mybooo
You do me like I dooo mhmmhmm
Tuwape maswali yasiyo na jibu Tuwapunguze gubuuu eeehh
Tuzichore tatooo mhmh yeah
Yani nimeoza kwako chakachakaa
Kipa magoli kwako nanyaka nyaka
Chochea kuni moto tayari nishawakaa....
....................................
Only you baby mwingine sidhanii
Nimekuweka ndotoniii
Nimekuvika kidani cha mapenzii
.........................
kumekuchaaaaaaa!!!!!!
 
IMG-20220818-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom