cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Mama yeyo unalia nn wakat mm nipo zaidi ya simba njoo nkutulize





cuzooooo leo simba kaharibu mgodi wa dhahabu huko.Mama yeyo unalia nn wakat mm nipo zaidi ya simba njoo nkutulize





cuzooooo leo simba kaharibu mgodi wa dhahabu huko.Huko field wanamnyima sana uhuru mpaka siyo poa. Anaingia JF kwa machale sana kama digidigi mpaka anashindwa kufuatilia na kujibu post kwa post. Haifurahishi kabisa!![]()





nimecheka mnoooo, uwiiiiiihAwapi huku ni tofauti sanaaa msukuma kwanza Hakuna uhalisia hata chembeeee!!!! Huku fimbo ya mbaliiiiiiSitaki hekaheka mieee!!
Huku needs lot of time and preparations socially physically mentally spiritually and economically na mambo ni mengi muda mchacheeee arrrgghhhh
Wacha nipambane nahali yangu huku
niliko Jf Siwaweziiii!!







JF imekunyoosha, chezea weyeeeeMic u shougareeeeee akee,Kabisaaa;!! Nishammiss mpaka basi hapa!!![]()





Kumekuchaaaaaaaa!!!Nikutakie usiku mwema wewe mwenye upole, usiye na makuu, thamani yako ipo moyoni, japo kuiona kwa macho ni ngumu, pokea salamu za usiku, ardhi na mbingu zikawe mashaidi wa pendo langu kwako, toa shaka na wasiwasi moyoni, liwake jua mchana ntakupenda, mwezi uchomoze usiku ntakujali, likizo nkipata ntakupeleka ibiza Spain, hela nkizishika ntakununulia Jamii forums, ukiota njozi uote zile mwanana za upendo, ntakuvumilia na kukuheshimu katika furaha na majonzi, usikibane kikohozi cha mapenzi, Poker nipo kukuvusha bahari na yatch ya kifahari, ntakupamba kwa vito vya thamani yaani rubi na almasi, ukihisi kuchoka ntakupeleka sayari ya mars kutembea, hizi ni salamu za usiku, zinatoka kwa huba la kasi kupitia upepo wa baharini, zikufikie habibty wangu tulizo la moyo wangu Antonnia![]()














dada naichukua hii, kuna mtu nataka aione. Mapenzi yamewafikia wenyewe,Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzike tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo
Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...
Usiku mwema wapendwaLovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
![]()








Na ikitokeaa umemwonaaa mvute chini umwambie mwenzake mii sijiweziiiiii
Yee ndio wa kunifanya nikaponaa mwana wa mwenzieeee haya maradhi ya mapenziiii
.............................................................
Uuuuuuuuuuuuuuuuuu
Bbbeiibeii bebebeiiii ibeeeeeee
Kwenye kivuli cha picha yangu nakuona wewe mybooo
You do me like I dooo mhmmhmm
Tuwape maswali yasiyo na jibu Tuwapunguze gubuuu eeehh
Tuzichore tatooo mhmh yeah
Yani nimeoza kwako chakachakaa
Kipa magoli kwako nanyaka nyaka
Chochea kuni moto tayari nishawakaa....
....................................
Only you baby mwingine sidhanii
Nimekuweka ndotoniii
Nimekuvika kidani cha mapenzii
.........................







kumekuchaaaaaaa!!!!!!Shati zuri,Sina usingizi, sina kazi..
Nipeni kazi Wakuu hata za data entry nisukume siku mie.
View attachment 2326950



Mimi pia aunt nimefurahi sanaShangazi mic u,
Nna furaha kwa ushindi wa leo.