Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,952
Asante ccy Leo nmeiona shingo yako.....@Carrasco putin umeona lknSo Biurifoooo sis!!
African beauty!!
Sis Umenougaaaaaaa![]()
Asante ccy Leo nmeiona shingo yako.....@Carrasco putin umeona lknSo Biurifoooo sis!!
African beauty!!
Sis Umenougaaaaaaa![]()
Nitumie namba ako hapa hapaNitumie picha hii whatsapp
Msukuma mwenye flat tummy banaMsukuma asiye na tako

HaipatikanNitumie namba ako hapa hapa
Haya sawa basi nitumie ya yule kaka ako handsome mrefuHaipatikan
Sina KakaHaya sawa basi nitumie ya yule kaka ako handsome mrefu
Tumbo ya nyiguWanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo
Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...
Usiku mwema wapendwaLovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
![]()

🎶Na ikitokeaa umemwonaaa mvute chini umwambie mwenzake mii sijiweziiiiiiAndika tena shemeji yangu mpole Ila mtundu kitandani![]()
Nimepania kutokomezaa kitambiiiiiiiii💃💃💃
Asante sis kipenziii 😘😘😘Asante ccy Leo nmeiona shingo yako.....@Carrasco putin umeona lkn
Nipo njema sana Katibu vibayaa hivoooo!!Mwenyekiti nakusalimu tu!!
Unantafutia matatizo mamdo!!😉😉
Nipo njema sana Katibu vibayaa hivoooo!!
Sijui tumekukosea wapi katibuuu😉😉!!
Nipo mwenyekiti nachungulia chungulia one time!! Ila tupo pamoja!! I miss you!! 😘
Fanya mapenzi na Mjep kitambi kitaishaNimepania kutokomezaa kitmbiiiiiiiii![]()
Dadangu amefuta ila nimeiona. Anahitaji kula ugali, michembe na mabele maboboto (Wige atatafsiri) kila siku ili aongezeke angalau kidogo. Najua ni enzi za umodo lakini dah! 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Yuko Vizure sis angu black beauty 😘😘!!Dadangu amefuta ila nimeiona. Anahitaji kula ugali, michembe na mabele maboboto (Wige atatafsiri) kila siku ili aongezeke angalau kidogo. Najua ni enzi za umodo lakini dah! 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️