Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
Tumbo ya nyigu

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Andika tena shemeji yangu mpole Ila mtundu kitandani
🎶Na ikitokeaa umemwonaaa mvute chini umwambie mwenzake mii sijiweziiiiii
Yee ndio wa kunifanya nikaponaa mwana wa mwenzieeee haya maradhi ya mapenziiii🎶🎵
.............................................................

Uuuuuuuuuuuuuuuuuu
Bbbeiibeii bebebeiiii ibeeeeeee
Kwenye kivuli cha picha yangu nakuona wewe mybooo
You do me like I dooo mhmmhmm
Tuwape maswali yasiyo na jibu Tuwapunguze gubuuu eeehh
Tuzichore tatooo mhmh yeah
Yani nimeoza kwako chakachakaa🎵
Kipa magoli kwako nanyaka nyaka
Chochea kuni moto tayari nishawakaa....🎵🎶
....................................
🎶🎵Only you baby mwingine sidhanii
Nimekuweka ndotoniii
Nimekuvika kidani cha mapenzii🎶🎵
.........................
 
Dadangu amefuta ila nimeiona. Anahitaji kula ugali, michembe na mabele maboboto (Wige atatafsiri) kila siku ili aongezeke angalau kidogo. Najua ni enzi za umodo lakini dah! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Dadangu amefuta ila nimeiona. Anahitaji kula ugali, michembe na mabele maboboto (Wige atatafsiri) kila siku ili aongezeke angalau kidogo. Najua ni enzi za umodo lakini dah! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Yuko Vizure sis angu black beauty 😘😘!!
 
Back
Top Bottom