Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakati mwingine hata kama hakuna kitu mfukoni, mtu unajipitisha tu showroom ili kuangaza macho na kuona kinachoendelea katika ule upande mwingine.

Vieite hii Nissan Armada inabeba mtu nane nimeikodolea macho kweli kweli. The time will come! 😁😁😁🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Armada ipo vizuri hata muonekano 🔥🔥
 
Mie nimetoa maoni yangu nionavyo mimi kama limekugusa kula wembeee!! kama halikuhusu pita kushotoooo!! Tusipangiane cha kuandikia humu!
Kutokujiamini hakujawahi muacha mtu Salama!
Kwamba wewe ndie mwana selfika pepeako ama!! Wewe ndie una mbebez pekeako humuuu??? Mmmxxxiiieeewww! Jifunze kubalance shobooo pimbi wewe!!
Woii nimepitwa🥺🥺🥺🥺 kuna nn😅😅😅😅 nahisi kulia mepitwaaaa
 
Armada ipo vizuri hata muonekano 🔥🔥
Na ndugu yake huyu Infiniti QX80 japo bei yake ya moto kweli ingawa wanafanana sana na Armada. Na hii ndiyo shida mojawapo kubwa ya Nissan. Magari yao yanafanana fanana sana. Toyota wamejitahidi sana kuitenga luxury brand yao (Lexus) na Toyota za kawaida. Hawa Nissan bado. Sasa mtu hata huoni sababu ni kwa nini ununue QX80 kwa bei ya kufa mtu wakati linakaribiana sana na Armada ambalo bei yake ni ya kawaida...
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-114059_Chrome.jpg
    Screenshot_20220816-114059_Chrome.jpg
    83.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220816-114143_Chrome.jpg
    Screenshot_20220816-114143_Chrome.jpg
    76.7 KB · Views: 6
Na ndugu yake huyu Infiniti QX80 japo bei yake ya moto kweli ingawa wanafanana sana na Armada. Na hii ndiyo shida mojawapo kubwa ya Nissan. Magari yao yanafanana fanana sana. Toyota wamejitahidi sana kuitenga luxury brand yao (Lexus) na Toyota za kawaida. Hawa Nissan bado. Sasa mtu hata huoni sababu ni kwa nini ununue QX80 kwa bei ya kufa mtu wakati linakaribiana sana na Armada ambalo bei yake ni ya kawaida...
QX80 ni more powerful kuliko Armada. Na ninaona ni full luxury ingawa muonekana wa nje kama zataka fanana
 
Back
Top Bottom