Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Kwahyo mm ni degree failure 😠😠😠Soma Kitu uelewe
Kwahyo mm ni degree failure 😠😠😠Soma Kitu uelewe
PossiblyKwahyo mm ni degree failure 😠😠😠
Aisee jirani...Nafua za j3 hadi leo 😂😂
Umeiona simba Shem hamia afu yule mthungu yupo single au umekolezwa sana na MjepKuwashwa tena khaa!! 🤔🤔🤔
Safiii sana
😁😁😁
Fahari yetu ☺
Kulikoni jirani..Aisee jirani...

😂😂😂 siwezi kufua nimekaa,, nitajimwagia sana majiWee hata najua😂
Ila itakua mabei tu, maana vitu quality ni expee
Hahaaa mimi kufua ndio napenda ili nihakikishe nimeitakatisha nguo vema, af nakua nimekaa nimetulia....
Kusuuza hapana kwakwel maana kunachosha kuhama hama beseni moja to lingine.
Hahahahaa eeh😂😂😂 siwezi kufua nimekaa,, nitajimwagia sana maji
Sasa itabidi uje huku kufua, me nitakuja kusuuza
Aliyekufundisha mashairi ni boss Mjep au Tajiri PokerWanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo
Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...
Usiku mwema wapendwaLovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
![]()
Andika tena shemeji yangu mpole Ila mtundu kitandani!!
Yani mamdo hii komenti yako nakujibu nimeandika nikafuta nikaandika nikafuta tena nikaandika nikafuta sijui kwanini!!![]()


Nyie Kuna watu wanafaidi aiseeeWanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo
Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...
Usiku mwema wapendwaLovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
![]()


Hiko kifua anafaid Mjep hapo chini anafaid PokerWanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo
Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...
Usiku mwema wapendwaLovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
![]()
Haya ndo nmekuja ccyNimemaliza sis nibless nichangamke kwanza![]()