Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20220817_202008.jpg
 
Wee hata najua😂
Ila itakua mabei tu, maana vitu quality ni expee

Hahaaa mimi kufua ndio napenda ili nihakikishe nimeitakatisha nguo vema, af nakua nimekaa nimetulia....
Kusuuza hapana kwakwel maana kunachosha kuhama hama beseni moja to lingine.
😂😂😂 siwezi kufua nimekaa,, nitajimwagia sana maji

Sasa itabidi uje huku kufua, me nitakuja kusuuza
 
🎶Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo🎵
Ufe nkuzike tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo🎼
Hasii na chanya tugandanee 🎵🎶
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo🎶

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi🎶
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa🎵🎶
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii😜😜😜😳😳
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena🎶🎵
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...🎶🎵

Usiku mwema wapendwa ✌️😘 Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi💤😴💤💤😴
 
Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
Aliyekufundisha mashairi ni boss Mjep au Tajiri Poker
 
Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
Nyie Kuna watu wanafaidi aiseee
 
Wanakesha wakiomba tuachane
Wanaupaka rangi upepooo
Ufe nkuzuke tuzikanee
Kesho tukakutane kwa pepoo
Hasii na chanya tugandanee
Kisha tuzidishe tempoo
Bila sita saba nanane hata kumi Isingekueooo

Tena unavyonisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka Babaaa
Watoto wa Mombasa Huko Kenyaa
Wanitamani ndizi ya kumenyaa
Wanajiuliza vipi umepenya
Mpaka Tonniah hapinduii
Akina Carrymastory wanakusengenya
Navile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
Yani mpaka asubuhiii
Kiufupi umeniziba mdoo mdoo mdomoo.......…..
Yani baby umeniziba mdooo mdoo mdomoo...

Usiku mwema wapendwa Lovelovie sis amesubiria sana mpaka usingizi
Hiko kifua anafaid Mjep hapo chini anafaid Poker
 
Back
Top Bottom