Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mweeh haka ka uswazi mbona. Tena muda huu atakuwa amewahi sana, saa 7 tumeshaizoea
Junia wakishua.. hadi sahivi hajalala tu
Junia wakishua.. hadi sahivi hajalala tu
Shostie ni kaka yako huyu
?
ILE ilikuwa ya ki jf tu mkuu wangu...kibaya zaidi hatujawahi onana live, unajua pia imani yake ile kali huezi amini alivyokuwa na utani mwingi hahaSijawahi kuwa na kisu kikali mkuu!! Ndio nna mpango wa kunoa kisu changu nianze kula nyama sasa![]()
BMW ya mtoto wa mama, Rav 4 ya dadaSasa tunaoishi godauni inakuaje😂😂
Ila mpoki ana maneno, sijui anayatoa wapi
Au nyama😃Mbona njegere tunachemshia kwa gas? Maharage tunakwama wapi..
Toto lenye zigo umewasili?😂😂mzigo mzigo
Unaumwa vidonda vya tumbo umesema amekutajia possible matibabu (dawa) na route zake pantoprazole inachomwa IV (intravenously) mshipa na hio ya maumivu inachomwa kwenye msuli (tako) au IvTobaaaalugha gongana. Naomba nifafanulie vzr kaka.
Si ndio tumeambiwa tutafute hela? 😆Sasa tunaoishi godauni inakuaje😂😂
Ila mpoki ana maneno, sijui anayatoa wapi
Nikajaribu hili pishi, huenda mtoto wa mama mkwe atatangaza ndoa karibuni
![]()
chezea wewe
Nimecheka Sana mdogo angu.....sijui kwanini nimejikuta naliona uno uliloliandika hapo
![]()






kuna shem wako m1 alikua ananambia "taratibu bas nawee utaniangusha hilo uno km feni mbovu iliyokosa break". Eti nitulie nisimwage uno weee






Ah sahihiDuh! Hatar mno.

.. ukifika bongo unashangaa umepigia simu na kuambia mzigo umekutwa na hela and it is ilegal kusafirisha hela wanakuambia tuma hela ili nikutolee mzigo hu hapa airport .. uongo mtupu Eeh😂😂BMW ya mtoto wa mama, Rav 4 ya dada
Yan fuso imekula turubai ila nzigo inaonekanamzigo mzigo
Hahaha, huwa una kumbukumbu sana. Hivi ulisomea nini?Sema suuuuu ya mtani wako

Ninayo mmoja kubwa hapa nitaanza nayoKama ni makande labda ya mmoja/ wawili… na chupa iwe kubwa
You’ll make it.. na kande tutakula![]()

Haya watu na nyota zetu mjiniiii, cash inataka kutemwa kwa no angu hapa. Weraaaaah weraaaaah.Leta namba nifanye muamala chap
Natuma 1.5M







asiye na nyota abebe tofali, hizo shida za coca, woiiiiiihNimekuja kulala nimeiacha inaendelea, nna usingz kama woteSi ndio tumeambiwa tutafute hela? 😆
Nilitaka nilale, ila wamenichekesha hadi usingizi umekatika..