Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Nimecheka Sana mdogo angu.....sijui kwanini nimejikuta naliona uno uliloliandika hapo
kuna shem wako m1 alikua ananambia "taratibu bas nawee utaniangusha hilo uno km feni mbovu iliyokosa break". Eti nitulie nisimwage uno weee

Nkamuambia sikwenda unyagoni kumshangaa nyakanga, nilikwenda darasani, kaa kwa kutulia wee nishikilie ukianguka shauri yako.

Ogopa matapeli hakna mngoni asiyejua kudondosha moja moja
Unooooooooh.
 
Duh! Hatar mno.
Ah sahihi
Inabidi kuwa makini eeh

Anakudanganya nimekutumia mzigo sasa , anakupa link ya kutrack mzigo umefikia wapi na unasema ulipofika .. ukifika bongo unashangaa umepigia simu na kuambia mzigo umekutwa na hela and it is ilegal kusafirisha hela wanakuambia tuma hela ili nikutolee mzigo hu hapa airport .. uongo mtupu
Wapopo hawa wanajifanya wazungu sasa
 
Back
Top Bottom