spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
Niambieni madam nani huyo😅😅😅
Real meaning of beauty with brainsYeah, upo sahihi
hapo utaanza kumtamani huyo jamaa , end of day ushaharibu tayari .
Naked...
Raba kaliii
Boss nafurahi kukufaham chief
Utawasimuliafainali nimekuonaa
Hyo hadi ana kissHiyo sijaona, ila jackie hanaga picha za utupu au hiyo ipo hivyo??

Kweli umetumis mama J?
Jackie huyu huyuHyo hadi ana kiss

nitaitafuta mana siamini. Yule jamaa ni kazi muda wote hanaga muda na warembo.Nikajaribu hili pishi, huenda mtoto wa mama mkwe atatangaza ndoa karibuniHaya nakueleza wali maua
Hiyo ya kuchanganya na nyama sijawahi naona vitakuwa vingi labda uunge nyama pembeni
Mahitaji
Vitunguu 2
Carroti 2
Hoho 1 kubwa
Njegere kikombe 1
Wali vikombe viwili
-Iliki
-Njegere
-Kitunguu saumu
-Chumvi
Mandalizi
-Osha njegere zitoe kwenye maji
-Chambua iliki kisha zisage ziwe unga/robo kijiko cha chai
-Chambua mchele na uoshe
-Chambua kitunguu saum menya tangawizikisha visage
-Katakata karoti na hoho muundo wa vibox vidogodogo
Jinsi ya kupika
-Bandika sufuria yako jikoni,weka mafuta kidoogo saaana
-Kisha kabla hayajapata moto weka njegere hii inazuia njegere kutorukaruka,koroga hadi njegere zibadilike rangi
-Kisha weka Karoti endelea kukuroga
-Weka mchanganyiko watangawiz na kitunguu saum koroga hapa usichelewe sana maana vitunguu huwa vinawahi kushika chini
-Weka unga wa iliki kisha mchele
-Koroga hadi vichanganyike haswaaa
- Weka maji kisha weka chumvi koroga na ufunike
Baada ya muda angalia wali wako kama umekauka kisha palilia(weka moto juu na chini kidogo)
Subiri kama dk 20 angalia kama umeiva weka hoho ulizokwisha zikata hapo awali kisha geuza kidoogo na funika tena kwa dk 5.
Baada ya hapo waweza pakua wali wako ukiwa na harufu nzuuri na mauwa yake ambayo ni karoti ,njegere na hoho







Madam anza kuvaa miwaniMjep umejificha sana kwenye giza asee weka nyingine unayoonekana bana!!
Ndio mmepotea sana Selfika asee fanya kutubless na selfii yako basi!!Kweli umetumis mama J?
Thank you japo najionaga pangu pakavuReal meaning of beauty with brains
haha nikipiga nitafanya hivyoNdio mmepotea sana Selfika asee fanya kutubless na selfii yako basi!!