Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ah sahihi
Inabidi kuwa makini eeh

Anakudanganya nimekutumia mzigo sasa , anakupa link ya kutrack mzigo umefikia wapi na unasema ulipofika .. ukifika bongo unashangaa umepigia simu na kuambia mzigo umekutwa na hela and it is ilegal kusafirisha hela wanakuambia tuma hela ili nikutolee mzigo hu hapa airport .. uongo mtupu
Wapopo hawa wanajifanya wazungu sasa
Wapopo wana laana hawa mbwaaaa, njaaa kibao, mfyuuuuuu zao.
 
Ah sahihi
Inabidi kuwa makini eeh

Anakudanganya nimekutumia mzigo sasa , anakupa link ya kutrack mzigo umefikia wapi na unasema ulipofika .. ukifika bongo unashangaa umepigia simu na kuambia mzigo umekutwa na hela and it is ilegal kusafirisha hela wanakuambia tuma hela ili nikutolee mzigo hu hapa airport .. uongo mtupu
Wapopo hawa wanajifanya wazungu sasa
Ila huu utapeli wa kizamani yaan kama bado kuna watu wanatapeliwa kwa namna hii niwape pole sana.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Eeh bana
Wangoni πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!! cocastic
Natuma maombi ya kufundishwa mautundu mie kuna mtu nataka kumvuruga avurugike mazimaaa πŸ˜‰πŸ˜‰πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Wangoni πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!! cocastic
Natuma maombi ya kufundishwa mautundu mie kuna mtu nataka kumvuruga avurugike mazimaaa πŸ˜‰πŸ˜‰πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...Basi Mimi sio mngoni wallah Tena...
Tutamfute tu atufunze..hakuna namna🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom