Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kuna shem wako m1 alikua ananambia "taratibu bas nawee utaniangusha hilo uno km feni mbovu iliyokosa break". Eti nitulie nisimwage uno weee

Nkamuambia sikwenda unyagoni kumshangaa nyakanga, nilikwenda darasani, kaa kwa kutulia wee nishikilie ukianguka shauri yako.

Ogopa matapeli hakna mngoni asiyejua kudondosha moja moja
Unooooooooh.
Eeehhhndiwooooooo😘😘!! 😜
 
kuna shem wako m1 alikua ananambia "taratibu bas nawee utaniangusha hilo uno km feni mbovu iliyokosa break". Eti nitulie nisimwage uno weee

Nkamuambia sikwenda unyagoni kumshangaa nyakanga, nilikwenda darasani, kaa kwa kutulia wee nishikilie ukianguka shauri yako.

Ogopa matapeli hakna mngoni asiyejua kudondosha moja moja
Unooooooooh.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Cocaaaa..tobaaaaa roho yangu😂😂😂😂😂....Sasa mbona Dada ako patupu !!??🙄
 
Back
Top Bottom