Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Haha lkn ile kitu ina akili sana mkuu acha utani daahHahaha, mkuu umekumbuka ya zamani sio? Ila ulishinda ile vita.
Haha lkn ile kitu ina akili sana mkuu acha utani daahHahaha, mkuu umekumbuka ya zamani sio? Ila ulishinda ile vita.
Kwema dear..sijui kipande hicho
Basi kheri...Huku pia tu bukheri wa afya
mamy!
Ah waongo sanaStories kuwahusu huwa zinaniogopesha kiukweli.
Na hiyo siku ndo ntaweka live, yaan ntakua buli buli, maana Tanzania nzima itazizima, tena tiktok ndo kabisaaa nitapostiwa ie had baas.Hhahaha!! Eagerly waiting shos hio siku usiache kunitag !!








Sii yakukosa😍Na hiyo siku ndo ntaweka live, yaan ntakua buli buli, maana Tanzania nzima itazizima, tena tiktok ndo kabisaaa nitapostiwa ie had baas.
![]()
Karibu sana mamy tunafurahi kukuona tena 😘😘😘!!Niko fureshi shostito.... Saizi naperuz Peruzi tu hapaa... Tantee Kwa maombi yako.
Mahusiano ni kitu kinachohitaji mlengo na si bla bla tu. Kutamani mtu mwengine hiyo hutokana na km ulimpendea kitu mtu wako. Hukumpenda yeye km yeye. Na ndo mwanzo wa usaliti huoThank you Rafiki .. stori tu hizi
bora umuache huyo partner wako
Uanze na huyo crush kama ni dating tu .
Kubali kwanza kuwa ulishinda mzeeHaha lkn ile kitu ina akili sana mkuu acha utani daah


unaogopa ya wapopo umeona utulizane?





wapopo wa traaaaamuuu kwa bed, afu wana pipe za kwendaaaa, ikizamaaa fyuuuu hadi nyongaa inasogea kwa juu.
Ntajuaje mkuu huenda ulinizunguka🤣🤣🤣Kubali kwanza kuwa ulishinda mzee![]()
Wacha tuisubirie hio siku shos Kwani ni lini??Na hiyo siku ndo ntaweka live, yaan ntakua buli buli, maana Tanzania nzima itazizima, tena tiktok ndo kabisaaa nitapostiwa ie had baas.
![]()
Kuna mtu alinambia hadi makande ukiamua 🤣🤣
Chupa ya chai inaivisha hadi njugu mawe
Ni kuloweka na kuchemsha njugu kidogo
Shuuuh Shuuuhkwendaaaaaaah