Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nmekumbuka zaman wakat katoto nilikua napenda sana tamthilia zile za kizungu na hamna namna nyingine ya kuangalia zaidi ya kusubiria irushwe kwene Tv, ikifika muda kama kuna vipande vya hovyo hovyo wanatufukuza watoto unahisi uchungu tamthilia unaitaka lkn wazee wamekazaa. Maisha bhana
Nlikuwa naangalia movie ya Jackie na mzee
 
Happy to

Triple C
Mwamba wa Lusaka.

FB_IMG_16555776846022261.jpg
 
Back
Top Bottom