cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Sikuhizi umekua mgumuu sana rafiki kwema lakini??Nilipita kukusalimu mrembo wangu😊
Yes dear
Yes mamaWapopo ndo wanaija ??
Weee 32 si ungekuwa unalala ndani?Amekosea alivyoshtuka.. ngoja tuone hiyo tumoro..
Dyadya hiyo nimesema nimeiokota, kuna simu hivi nimeikirupua kabatini ndio nikakuta ile picha… pale kg zilikuwa zinakaribia 60
Now nachezea 32… imagine 😂😂😂
Uzi upo sana mkuu, kila nikikuona nakumbuka ulivyonitesaga enzi za P..123🤣🤣🤣Salama tu mkuu!
Uzima upo?
🤣🤣🤣🤣🤣Sis ake upooo?
Umeona ndoa ya kingoni kwa GARA B? Wangoni hatuna show mbovu, bwana harusi anamwaga uno, linamwagika moja moja,
Watu weuweeeeeeeeeeh!!!! Ikapigwa ile nyimbo ya "wanda wanda" wee mbna niliacha cm pembeni nkafunga nguo kiunoni acha nilimwge na mie uno la uzazi.
Woyooooooooh
Naomba 1Mil hapa chapuuuu.Nidangie mimi![]()
Scammers hao jamaaYes mama
Nilale ndani nitakula godoro?Weee 32 si ungekuwa unalala ndani?
🤣🤣🤣🤣🤣 Coca nacheka Mimi huku...natafuta sponsor wa kunilipia ada jomoneeee.
UE iko karibu.
Leta namba nifanye muamala chapNaomba 1Mil hapa chapuuuu.
We mwamba una matukioo![]()






maisha mafupi mate, tunaserereka tyuuh.Stories kuwahusu huwa zinaniogopesha kiukweli.Scammers hao jamaa
Kwema dear..sijui kipande hichoSikuhizi umekua mgumuu sana rafiki kwema lakini??
Hahaha, mkuu umekumbuka ya zamani sio? Ila ulishinda ile vita.Uzi upo sana mkuu, kila nikikuona nakumbuka ulivyonitesaga enzi za P..123![]()
Kuangalia romantic scenes na wazazi wako hata kama una 30 years,, still ni awkward kidogo

