Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Nimeikosa eehNaked...
Nimeikosa eehNaked...
Wewe Mie sijaona vizuri jamani weka ilio clear basii!!😉😉
Ah hapo tu ndo changamoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee
unatudanganya ivoivo!!haha nikipiga nitafanya hivyo
Mnakoseaga sana kukosoa kila mtu ameumbwa kwa namna ya ajabu...kama asemavyo mwandishi wa Zaburi ujueThank you japo najionaga pangu pakavu
Hii yuko yeye na sam HongJackie huyu huyu [emoji23][emoji23] nitaitafuta mana siamini. Yule jamaa ni kazi muda wote hanaga muda na warembo.
Mbona huwa najilipua?Kila siku un
unatudanganya ivoivo!!
Subiri mida ya wangaWewe Mie sijaona vizuri jamani weka ilio clear basii!!😉😉
Ni wapi huko hospital? Tena nachagua huyo Dr wa kiume awaje, hadi umri pia nachagua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume hata lugha zao wengi wanajitahidi kuwa na lugha nzuri akina sie sasa [emoji23][emoji23] mdomo kwa kwenda mbele. Napenda baadhi ya hospital ukienda unaulizwa kabisa unahitaji kuhudumiwa na dr wa kike ama wa kiume fasta sana nawajibu dr mwanaume tafadhali.
Ah pika dear tucheze harusi sie [emoji7]Nikajaribu hili pishi, huenda mtoto wa mama mkwe atatangaza ndoa karibuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kweliThank you japo najionaga pangu pakavu
Coca kalale,, [emoji23][emoji23][emoji23]Ni wapi huko hospital? Tena nachagua huyo Dr wa kiume awaje, hadi umri pia nachagua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamanii leo nina usingizi sana mr vocha fanya kunibariki Saivi pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!Subiri mida ya wanga
Na ulikua hapa hapaNimeikosa eeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliendaga Amana Kwa wale wa bima. Nilikuwa naumwa mguu ye sijui alijua naumwa paja. Si akasema nyanyuka uvue nione. Weee, nikamwambia dkt mie naumwa mguu, weee alisonyaaa[emoji28]
Kairuki [emoji23][emoji23] nilienda kumuona gynacologist mmoja mdogo alafu mzuriiiNi wapi huko hospital? Tena nachagua huyo Dr wa kiume awaje, hadi umri pia nachagua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uongooo!! Naleo jilipue basiiMbona huwa najilipua?
Asante kwa kunikumbushaMnakoseaga sana kukosoa kila mtu ameumbwa kwa namna ya ajabu...kama asemavyo mwandishi wa Zaburi ujue
Maini [emoji39][emoji39]Ah pika dear tucheze harusi sie [emoji7]
Pembeni rost la maini , kachumbar na juice fresh baridi .
Ah nipo moderate basiSio kweli