Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nmekumbuka zaman wakat katoto nilikua napenda sana tamthilia zile za kizungu na hamna namna nyingine ya kuangalia zaidi ya kusubiria irushwe kwene Tv, ikifika muda kama kuna vipande vya hovyo hovyo wanatufukuza watoto unahisi uchungu tamthilia unaitaka lkn wazee wamekazaa. Maisha bhana
Hahaha same here
Mzee alikuwa ananifukuza kabisa , anasema picha za kishetani ... Labda iwe ya kifilipino .
 
Back
Top Bottom