Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Zako kuzipata hadi bahati
Zako kuzipata hadi bahati
YummyMaini![]()

Nitakuamsha madam weka notification onl
Jamanii leo nina usingizi sana mr vocha fanya kunibariki Saivi pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Uongooo mr Vocha irudiweee irudiweee!!
Najua uko humble but sema asante ili umtukuze Muumbaji dada😅Asante kwa kunikumbusha
Natambua sema siwezi kujikweza .
Mimi nimepata tu bahati mana imekaa sekunde chache picha haipoZako kuzipata hadi bahati

Yeah true love ipooo. Tena ni Raha asikwambie mtu. Hasa ukipendwa dear. Halafu ajue na kupika Sasa then asione shida yeye kuingia kupika. Mana Kuna wale nipike ww wafanya nini?
![]()








Vibaya hivoo ujue!!🤣🤣😜Nitakuamsha madam weka notification on
Yeah sekunde huwa haifiki.Mimi nimepata tu bahati mana imekaa sekunde chache picha haipo![]()
Munguu juu mbinguni,Unayempenda anakupiga matukio huko hadi akili inakuruka,
Anayekupenda anakutafuta wewe habari huna!
Rarely kupata waliobalance..yaani mtu anakupenda na wewe unampenda
Ikitokea hii aiseee ni
Tunaimba tu pambio za Hallelujah Hosana.










Mimi nimepata tu bahati mana imekaa sekunde chache picha haipo![]()
Mic u shougaaa angu.Vizuri dear relax you will be okay!
There's nothing wrong with self nominationAh nipo moderate basi
Weee imekaaa sana hadi umequote mara 2 nimeicha sanaaMimi nimepata tu bahati mana imekaa sekunde chache picha haipo![]()
Unawashwa vibaya wee shougaaa, ntakubondaaaa
Nyie mtutii tu, hilo tu...sema nadhani mlishafeli katika hilo.🤣🤣Yasiyotakiwa yepi hayo Anko?
💃💃💃💃💃💃💃💃🤸😂🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸Unawashwa vibaya wee shougaaa, ntakubondaaaa
Asante .. namshukuru Mungu kwa hilok
Najua uko humble but sema asante ili umtukuze Muumbaji dada![]()