Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Acha uchochezi poker !!! Itakua Unapenda ligi mkuu selfika ni utu na utulivu hizo ligi tuwaachie makapu!!
Haya tulieni hivohivo mlivo napita naked kabisa!!










Aaa wapi tunaelezana kuwa wanaume hatunaga vinyongohahahaha.mnataka mpigane makonde humu
Waifu matirio 100%Asante Nkamu.
Hapana haijahamishiwa sema nipo huku mpaka mwezi wa 6 mwishoni tutakua tushamaliza kilichotuleta.
Vyombo vinanisamehe Nkamu sioshi nisidanganye nimeosha sana utotoni acha now nipumzike
Mwanamke kuingia jikoni lazima, yes hua nasonga.
Nguo nafua maana sipendi kufuliwa hata za Mzee nafua nikiwepo Dar.



So sad!Father of the fatherless.....View attachment 2244309View attachment 2244310
Na hawa abusers wana mbinu nyingi. They are very good manipulators. Wakikwama huko kwenye game za kisaikolojia wanatumia intimidation. They are sociopaths who can't let go. Pure narcissists!Watanionaje nikiachika??
Na sisi Waafrika mwanamke akiachika; tunavyom-frustrate kwa masimango; kama hana roho ngumu anaweza kujinyonga. Akivumilia hadi akafia ndoa, tunaanza tena kumlaumu. Mtu usipoijua thamani yako; jamii itakupelekesha na kukuua in the name of pleasing it
Bageshi!



Unafuata mkondo upi wa kifalsafa?eeeeh wee mie nna swaggz za mambeleee, yaan ni mzungu haswaaah. Hata maisha yangu ya kizungu sana hasa ki falsafa
Unafuata mkondo upi wa kifalsafa?
Ni mwanafalsafa yupi unamkubali sana?
Halafu nimeona mahali una ligi. Mtu kajaribu kukupanda kichwani ikashindikana. Yaani we mjukuu dah!




babuuu watu stress zao wanataka kunitulia mie, khaaaah hapana, nashuka nae mzima mzima. babuuu watu stress zao wanataka kunitulia mie, khaaaah hapana, nashuka nae mzima mzima.
Hapo kwq falsafa subiri kwan, uwiiiiih


Hata kama ana hofu ya Mungu. Wapenda miwa hawatamuacha salama






Inakuwaje sasa, tupo hekima mzee wetu vijana wako. Umekua umeona mengi unaona mengi utaona mengiHata kama ana hofu ya Mungu. Wapenda miwa hawatamuacha salama![]()


