Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Leo nakesha popo tuma moja niko mimi nawe usiogope kipenzi😍😍😍Nakujaaa
Leo nakesha popo tuma moja niko mimi nawe usiogope kipenzi😍😍😍Nakujaaa
Leo tunakesha wote.Leo nakesha popo tuma moja niko mimi nawe usiogope kipenzi![]()






Nini tena kinakupa siteresi mjukuu?niwacheee nina stress balaa, maisha haya jaman khaaaah.
Leo itakuwa umeonja 🍺Nini tena kinakupa siteresi mjukuu?
Mizagamuo ama?
Mie nalala now.Leo nakesha popo tuma moja niko mimi nawe usiogope kipenzi![]()




Nimeachwa babuuh,Nini tena kinakupa siteresi mjukuu?
Mizagamuo ama?




Pole mjukuu. Boya gani tena kajichanganya na kukupiga chini pisi kali kama wewe?Nimeachwa babuuh,![]()
Sijaonja kabisa mpendwa. Na nina muda mrefu kweli sijaonja. Niko tu nakata majani hapa sema kuna jua hatari.Leo itakuwa umeonja![]()
Safiri salama nkamu.Back to Dom
Haya maisha ya kuwa kila siku njiani ni magumu basi tu
Nilikuwa sijaingia muda mrefu JF Kwa kubanwa na shughuli za shambani 🙌.Notifukesheni
Sijui nimepatia
Ndio umepata leo![]()
Halafu jana nilihisi hiki Kitu shos kumbe I was right!!niwacheee nina stress balaa, maisha haya jaman khaaaah.
Safari njema, karibu kweli hili vumbi la jiji la DomBack to Dom
Haya maisha ya kuwa kila siku njiani ni magumu basi tu
Safiri salama nkamu.
Ofisi yako ilihamishiwa Dodoma pia ama?
Pole!
Ila huo mkono sasa. Lainiii mpaka basi. Unaweza kweli kuosha vyombo huo mkono? Kusonga ugali je? Kufua vinguo vya mzee?

Badae mkuu!
TotooBadae mkuu!