Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna steji na umri fulani katika maisha ukifikia yaani wala hujali who is swimming with you in the swimming pool as long as you are also swimming...

Uoe pisi kali hizi slei kwini hizi halafu utegemee ku-swim peke yako? We ulisikia wapi?

Ndo maana watu wanazipiga wee halafu wakitaka kutulia wanakwenda kuoa pisi zenye sura na maumbo personal wanatulia tulii na kula mema ya dunia bila bughudha
sura personal khaaaa
 
Kama kuna mtu humu ana kg zaidi ya 70 na anataka kupungua tr 20 june, tuanze fasting na keto diet

Mlo wa jioni ni ndizi mbivu nusu tu,, na fasting hyo ni for 14 days

Siku 3 za kwanza itakuwa ngumu mno lakini on the 4th day baada ya ketosis kuanza itakuwa easy peasy

Kama u are pregnant au una matatizo ya kiafya challenge hii usifanye,,

Any volunteers for science??
 
Kama kuna mtu humu ana kg zaidi ya 70 na anataka kupungua tr 20 june, tuanze fasting na keto diet

Mlo wa jioni ni ndizi mbivu nusu tu,, na fasting hyo ni for 14 days

Siku 3 za kwanza itakuwa ngumu mno lakini on the 4th day baada ya ketosis kuanza itakuwa easy peasy

Kama u are pregnant au una matatizo ya kiafya challenge hii usifanye,,

Any volunteers for science??
Embu piga self tuone
 
Kama kuna mtu humu ana kg zaidi ya 70 na anataka kupungua tr 20 june, tuanze fasting na keto diet

Mlo wa jioni ni ndizi mbivu nusu tu,, na fasting hyo ni for 14 days

Siku 3 za kwanza itakuwa ngumu mno lakini on the 4th day baada ya ketosis kuanza itakuwa easy peasy

Kama u are pregnant au una matatizo ya kiafya challenge hii usifanye,,

Any volunteers for science??

Oh nimetamani aisee
Napunguza kilo ngapi baada ya hiyo fasting ?
 
Back
Top Bottom