cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172




ahsanteeee, Mama malezi kwan lakini?




ahsanteeee, Mimi sikuona kosa lako kwa kweli tena we ni humble sana ulikuwa unafanya utani tuu! Naonaga hata comments zako hunaga shida na mtu embu mtag tena ajue humwogopi! 🤣🤣Poker una umri gani?😆😆😆
Kwa maisha halisi huwa sikurupuki.
Lakin
Lakini yakinifika ukimbie upesi.
Hili ni dogo sana mkuu.
Nikitokwa povu nitakuwa mshamba sana sana.
Na isitoshe jamaa sio kawaida yake ku react kivile.
Wee niache, au sio picha yako? Ukute umetoa google.Duh umeona vibaya aiseeh!
Watanionaje nikiachika??Ila nae Mtumishi wa Mungu alikuwa mjinga mjinga, kaonywa mala nyingi akae mbali na mwanaume.. basi sikuo la kufa halisikii dawa kwa asilimia kubwa angekuwa hai kama angesikia mashauri ya wenye hekima
Shos ukipata usinisahau ya vocha asee!! Buku tu mie!!😉😘Boss hebu nifanyie mpango, unataka nife njaa, mbna chawa wenzangu wanafaidi mapesa mie nakwama wapi?![]()
Phaller wewe nitakubebea panga nikufukuze humu😂😂😂😂Mimi sikuona kosa lako kwa kweli tena we ni humble sana ulikuwa unafanya utani tuu! Naonaga hata comments zako hunaga shida na mtu embu mtag tena ajue humwogopi! 🤣🤣
Nakuzingua bana. Vipi maandalizi?ahsanteeee,
Mama malezi kwan lakini?
Pole na Hongera kwa majukumu mkuu!! ✌️✌️Dah majukumu boss lady
Mwenyeji puliiiizzzz usinifanyie hivyo, hebu nimuone nisuuze macho.Naogopa usije ukasana kwa mshkaji wangu uanze kunisumbua....
![]()
![]()
Anza kazi pasi...sioni kipepeo cha kunipepea![]()






hebu kwan pesa ya advance iko wapi?
Itasoma very soonhebu kwan pesa ya advance iko wapi?
Huku ni stress free zone bana!! Hatutaki makelele huku kama una nyongo yako na ma sitiresi yako kuleee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!shauri yenu.
Maandalizi yako poaaah, afu rangi ile nilivopekeka, had fundi kaniaminia mustard yellow, kasema ile iko poah mnooo, nkajisemea mama malezi hana jambo dogo, afu nimemuambia akiharibu atanilipa, sitaki kabisaa.Nakuzingua bana. Vipi maandalizi?
Hapo sasa, woiiiiiiiiih.Itasoma very soon
Yule mama ni sababu ya kifo chake mwenyewe, na ni sababu ya kutosikia mashauri ya wakubwa na wenye hekima alifanya shingo yake kuwa ngumu, sehemu kubwa ya jamii iliyokuwa imezunguka hadi some pastors walimshauri alikuwa na sehemu kubwa ya kupata faraja kwasababu ukweli ulikuwa unajulikana hata kama watu wangekuwa wanaongea alikuwa na mahala kujifichiaWatanionaje nikiachika??
Na sisi Waafrika mwanamke akiachika; tunavyom-frustrate kwa masimango; kama hana roho ngumu anaweza kujinyonga. Akivumilia hadi akafia ndoa, tunaanza tena kumlaumu. Mtu usipoijua thamani yako; jamii itakupelekesha na kukuua in the name of pleasing it
Huku ni stress free zone bana!! Hatutaki makelele huku kama una nyongo yako na ma sitiresi yako kuleee!!







, kheeeh jaman huyu kaka perfume yake inanuka km maiti, uvumilivu utanishinda ntamuambia akaoge khaaaah. Harufu mbayaaaa.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 fundi analo 🤣🤣😂!!Maandalizi yako poaaah, afu rangi ile nilivopekeka, had fundi kaniaminia mustard yellow, kasema ile iko poah mnooo, nkajisemea mama malezi hana jambo dogo, afu nimemuambia akiharibu atanilipa, sitaki kabisaa.
Weee nani huyo shos???, kheeeh jaman huyu kaka perfume yake inanuka km maiti, uvumilivu utanishinda ntamuambia akaoge khaaaah. Harufu mbayaaaa.
Kila siku huwa watu nawaambia, usiishi kwa kuwafurahisha watu wa nje, ishi ktk uhalisia wako na lililo ktk nafas yako kwa wakati husika.Watanionaje nikiachika??
Na sisi Waafrika mwanamke akiachika; tunavyom-frustrate kwa masimango; kama hana roho ngumu anaweza kujinyonga. Akivumilia hadi akafia ndoa, tunaanza tena kumlaumu. Mtu usipoijua thamani yako; jamii itakupelekesha na kukuua in the name of pleasing it