Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Father to the fatherless.....
IMG_20220530_131731.jpg
IMG_20220530_131744.jpg
 
We umekubalije kudhalilishwa kabisa tena mbele ya mrembo mwenye shape lake! 🤣🤣 Usikubali mkuu lipiza aisee 😂 amekuaibisha kwa kweli na vile huna baya na mtu 😞
Acha uchochezi poker !!! Itakua Unapenda ligi mkuu selfika ni utu na utulivu hizo ligi tuwaachie makapu!!
Haya tulieni hivohivo mlivo napita naked kabisa!!
 
We umekubalije kudhalilishwa kabisa tena mbele ya mrembo mwenye shape lake! 🤣🤣 Usikubali mkuu lipiza aisee 😂 amekuaibisha kwa kweli na vile huna baya na mtu 😞
Hahaha hayo ya kuchocheana tumewaachia wavulana mkuu...povu langu huwa halitoka hovyo nikiamua kutoa povua huwa nakuoatia na sabuni kabisa ya kufulia mwezi.
So usitegemee nikurupuke kutoa povu hovyo😂

Pia uelewe kuwa siku hazifanani unaweza kumtania mtu kwa uzuri kumbe ana hasira alipotoka ukaishia kupigwa jiwe😆😆
 
Hahaha hayo ya kuchocheana tumewaachia wavulana mkuu...povu langu huwa halitoka hovyo nikiamua kutoa povua huwa nakuoatia na sabuni kabisa ya kufulia mwezi.
So usitegemee nikurupuke kutoa povu hovyo😂

Pia uelewe kuwa siku hazifanani unaweza kumtania mtu kwa uzuri kumbe ana hasira alipotoka ukaishia kupigwa jiwe😆😆
Nimesema tulieni hivohivo hamjasikia lakini???😉
 
Hahaha hayo ya kuchocheana tumewaachia wavulana mkuu...povu langu huwa halitoka hovyo nikiamua kutoa povua huwa nakuoatia na sabuni kabisa ya kufulia mwezi.
So usitegemee nikurupuke kutoa povu hovyo😂

Pia uelewe kuwa siku hazifanani unaweza kumtania mtu kwa uzuri kumbe ana hasira alipotoka ukaishia kupigwa jiwe😆😆
Ila mkuu una roho ya kipekee sana sio mwepesi wa hasira ila cku nyingine kwa maoni yangu Usikubali kabisa mkuu!
 
Back
Top Bottom