Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah sure. At the end of the day Kila mtu yupo responsible na maisha yake. If you decide you throw it away; hakuna wa kukuzuia.

Niliongelea tu partly of what nimeki-experience na hawa victims wa domestic violence. Wengi ni kuwaza kwamba nitaonekanaje nikiachika? One of my aunts; watoto wake ilibidi wamuondoe kinguvu kwa baba yao, ndiyo ikawa salama yake. Alipofikia ni ilikuwa tunasubiri tu taarifa ya msiba kwa kipigo au presha.

Kuna clip nimeiona ya send off ya binti anawaambia wazazi wake wasije wakamtupa kwa sababu tu ameolewa. In the sense wazazi wengi hata mtoto akija kuwalalamikia/kuamua kurudi nyumbani juu ya abuse anayoipata kwenye ndoa; ataishia kuambiwa "vumilia mwanangu, ndoa ndiyo zilivyo, rudi tu kwa mumeo". Siku ya siku wanaletewa mtoto kwenye jeneza.
Ndo ni furaha, ndoa ni amani , ndoa ni upendo ni goodtimes, ndoa sio kuvumulina na mambo yanayo hatarisha uhai, afya wala usalama wako..
 
Bora uliokoa uhai wa aunt yako.

Usiombe uwe kwenye abusive marriage afu huna kipato. Ndugu wengine roho mbaya wanaona kama ukiachika utakuwa mzigo kwao financially; so hata ulalamikaje watakwambia tu uvumilie
Yaan mwenzio had leo najionea km hadith, miaka 11 watu hawaelewan, hawalali pa1, kila mtu na mipango yake, japo walikua wanaishi nyumba 1, eti wakitoka nje huku unaweza sema ndoa enyewe si hii, km ugomv bas n kidogo, kumbe boom n kubwaa,

Wala nilisambaratisha siku hiyo, na ndoa ikafa,

Mie hata mama namuambiaga ukweli, ndoa ikikushinda changanya miguu urudi kwenu, sio eti una watoto au utu uzima uogope aibu, utakufa siku sio zako, na utawaacha hao unaodhan watakuonaje wakiendelea kula dona, maisha yako yapo mikononi mwako.

Kuna siku niliongea na baba yupo, alinitazamaa huyooo, uwiiiiiiih.
 
Back
Top Bottom