Sasa si fununu tena! Ni bayana..!!!

Sasa si fununu tena! Ni bayana..!!!

Kassim
Ndugai
Wamesagiwa Kunguni WA Kutosha
Sasa Hivi Wananuka Tu

Wajipime Waachie Ngazi Haraka
 
Ni siku ngumu kidogo kwa mh wa Dodoma, lakini kwa kiasi fulani naona madam kajishushia kwa namna fulani heshima uliodhaniwa ako nayo.
Hakuna kitu kizuri kama wangemalizana wenyewe kwa wenyewe bila umma kujua nini kilijiri.
Huyu mama (Rais) huwa namfananisha kabisa na KHADIJA KOPA, wa mipasho! Yaani, wamefanana mpaka MACHO!
 
Kapanic kwa issue ndogo sana. Lissu na Chadema wakianza mashambulizi sijui itakuwaje!
Kinachouma ni mbinu chafu kupangwa na watu wako mwenyewe(CCM),lakini ingetoka upande wa upinzani hiyo ni kawaida ingesemwa ndo kazi yao hawana cha kusifia
 
Hayo mashambulizi mbona hawakuyaelekeza kwa mwamba wa chato, tha late JPM..?.

Mbaya zaidi wakawa wanayakimbia maandamano waliotisha wenyewe kuanzia UKUTA na yake ya LISSU yasiyokuwa na kikomo baada ya uchaguzi...

Mnasahau baada tu ya uchaguzi jamaa mbio ubalozi wa Ujerumani...

Bila shaka mpaka march Serikali itakuwa imemhakikishia usalama wake....hahahaha
JPM is gone for good and Tanzania is better off!
 
Ila Job alikuwa anafanya kazi yake ile kwa kizungu wanaiita 'check and balance' ila sema nini mama naye kambalansia kitu kizito [emoji23][emoji23]

Ndugai alikuwa sahihi kimajukumu ila kichama hakuwa sahihi, je tunajifunza nini?
Check and balance inatakiwa ifanyikie bungeni sio uchochoroni kwenye mkutano wa kabila
 
... Nikasikia serikali ya mpito huko bungeni .. KWA AKINA KASIMU...!!!
Hutajwi kwa wadhifa wako
Hutajwi kwa cheo chako
Hutajwi kwa ubini wako
Hutajwi kwa mamlaka yako... Bali unatajwa kwa jina lako la kwanza!...Msg is clear n loud..!

Mteule mtukuka naye kasagiwa kunguni mbele ya kadamnasi....Jobo kasemwa, kasimangwa na kutukanwa kiutu uzima lakini kwa njia ya kudhalilishwa kabisa...Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuona mtu mkubwa wa wadhifa na cheo kikubwa akisemwa kama mtoto mdogo aliyekosea sana mbele za wageni.. Kimsingi amemalizwa..!

Fukoto huko ndani lilikuwa kubwa lakini hatimaye limepata pa kupumulia... Kati ya mengi aliyoambiwa kubwa ni usumbufu wa KIJANI mwenzake! Hajayajwa lakini 1 + 1 = na 11 (JoKa)?[emoji23]
Kipenga kimepulizwa rasmi..sio fununu tena, makundi yako bayana, mpasuko uko bayana...Mbio za 2025 zimefichuliwa rasmi...!
Pengine hekima ingewaongoza wote wakae kimya wasitoke hadharani.. Waitane huko huko ndani lakini imethibitika hilo halingewezekana kutokana na fukuto linalotokota huko kijanini ..
Kifuatacho sasa ni moto kukolezwa na chawa wa kila upande...kama bado hujajua hali ilivyo mbaya subiri wapate msiba wa mwenzao...
Mshtuko wangu ni kitu kizito alichopigwa nacho katelephone! Na mipasho ya viwango vyake kwa Jobo... Wallah bimkubwa anajua kusimanga!!! Unaweza kuumwa kabisa[emoji23]

Sasa tusubiri season 3...!
giphy.gif
Hii movie itaanzaa upya na Sterling bado hajajulikana. Yoote yanayotendeka nani yupo nyuma ya pazia??
 
Back
Top Bottom