Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 4,210
- 5,676
Mtaalam tusubiri tuendako siko.Nchi ngumu sana hii
Ndio kwanza January wanachambana hivo
March itafika kweli
Mtaalam tusubiri tuendako siko.Nchi ngumu sana hii
Ndio kwanza January wanachambana hivo
March itafika kweli
Siasa ngumuKiukweli sijajua kamkosea nini ils ikiwa tatzo ni kusema ya mpito tu ndio umtaje mtu kwanjina lake sio poa kbsa inaonekana ni kama mtu anatqftiwa sababu ili watu waliokuqa karibu na mzee Magu wote waonekane wahovyo na waondoke
Matapeli wa JF bhana [emoji16]Kusema kweli sijawahi kuona hali ya namna hii kwa watu wakubwa!..
Au ndo kazi ya dipu siteti..??
Namna alivyoitwa katelephone nimeitazama kwa jicho jengine aisee!.
Bi mkubwa alishika vazi lake halafu akaliweka sawa akaisogelea Mike vizuri... Ki body language hichi nilikielewa mambo yanapasuka Sasa[emoji23]
Anajua anachokifanyaNi siku ngumu kidogo kwa mh wa Dodoma, lakini kwa kiasi fulani naona madam kajishushia kwa namna fulani heshima uliodhaniwa ako nayo.
Hakuna kitu kizuri kama wangemalizana wenyewe kwa wenyewe bila umma kujua nini kilijiri.
Chief hangaya apite nao wale bhanaHuko kwenye katiba Chifu Hangaya aliona aya inayoelezea wabunge wasio na chama bungeni?
Kwahiyo mimi tapeli. 😂Matapeli wa JF bhana [emoji16]
Ngoja March ifike mzee Lisu akitia mguu Tz mama atajua hajui...nafikiri atatafuta na bendi ya taarabu kutoa vichambo.
Kosa kubwa la Ndugai ni kuomba msamahaa kutoka kwa Mwanamke, siku zote ukisha muomba msamahaa Mwanamke hata Kama ni Mke wako wa ndoa jua umekwisha, lazima atakudharau na kukusimanga kila wakati! Job angekomaa tu na ufafanuzi wa Mikopo hatarishi!!Ni siku ngumu kidogo kwa mh wa Dodoma, lakini kwa kiasi fulani naona madam kajishushia kwa namna fulani heshima uliodhaniwa ako nayo.
Hakuna kitu kizuri kama wangemalizana wenyewe kwa wenyewe bila umma kujua nini kilijiri.
Inasemekana kuwa wanaume wote ma Democrats na ma Republican waliungana (japo kwa chini chini) ili kuhakikisha kuwa Hillary Clinton hawi rais. Sasa nimeanza kuwaelewa!
Tena Grolia alikuwa na mipasho hata mama akasome. Bongo sihami ng'ooooo!Magreth Tatcher pale UK...
Bi Angel Markel pale Germany.
Grolia Aroyo pale ufilipino..
hayo ni mataifa makubwa x 1000 kuliko Tanzania
Tena Grolia alikuwa na mipasho hata mama akasome. Bongo sihami ng'ooooo!
Kapanic kwa issue ndogo sana. Lissu na Chadema wakianza mashambulizi sijui itakuwaje!
Mshamba Ni mshamba tu.Mmh hili koti....
Waaache wapaluane huko watakuja kutoa hata siri zao za wizi mwisho wa movieNdugai mgogo hawa hawana aibu atakomaa hapo hapo pengine wampokonye kadi!!! Angekuwa MNYALU kwa kudhalilishwa namna hiyo na mwanamke angejitundika!!! Wenzie wangemwambia SWELA MUYAA!!
Sio ishu ndogo, Rais ana washauri, ana watu kila sehemu, Spika, Makamu wa rais,Waziri Mkuu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa nk hupewa ulinzi na SERIKALI. Hilo suala si bahati mbaya, ulinzi ule si kwamba umewakwa kwa ajili ya UHAI wao waidhuriwe na watu tu, bali pia KUJUA NIA YAO ni nini JUU YA RAIS.Kapanic kwa issue ndogo sana. Lissu na Chadema wakianza mashambulizi sijui itakuwaje!
Professor, kutukanawa na kuendelea kubakia pale wizarani inasikitisha na kutia aibuu kuu katika wasomi na taasisi zetu zote za elimu!Mbona yule aliyeambiwa nonsense hakuachia ngazi ?
Humjui SAMIA wewe, ni MZOEFU KULIKO JOB NDUGAI. Yupo kamati kuu ya CCM tangu enzi za Mkapa, yeye ni mmoja waliompitisha KIKWETE na baadae MAGUFULI. Hayuko pale kwa bahati mbaya ana uzoefu na CCM pengine kuliko 90 ya wanaCCM wa leo.Kwa akili za Job zilivyo...
Hangaya ajikaze..wenziwe wanaa uzoefu ... ...
Halafu leo nimeota kijani mkuu kavuta. Sijui maana ya ndoto yangu.Navuta zangu pop corn naongeza sauti naangalia movie ya kutisha ya mauaji ya kimbari ya ma nzi ya kijani