CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,869
- 16,014
Kwa ukongwe wako hukupaswa kuleta kitu ambacho huna uhakika nacho. Uzushi huu haukubaliki, acha kuchafua watu.
Kwa ukongwe wako hukupaswa kuleta kitu ambacho huna uhakika nacho. Uzushi huu haukubaliki, acha kuchafua watu.
Sikuweka kama genuine bali kama kitukoKwa ukongwe wako hukupaswa kuleta kitu ambacho huna uhakika nacho. Uzushi huu haukubaliki, acha kuchafua watu.View attachment 2069211
Kama hakurudi aliwezaje kugombea uraisi? Au mgombea wa chadema alikua samurai?Mbona hakurudi kile chuma cha chato kilivyokuwa ikulu...? au naye muoga tu anataka kupambana na mwanamama...
Ma-parody hayo, wengine washaanza kukanushaSina hakika.. Kuna tweets nyingi kwa majina ya wabunge na watu mbalimbali zinazunguka zote zikimnanga Jobo
Hii twit nayo ni kasa chaka bovuKuna kikundi kwa makusudi ama kwa lengo lao wanaya publish.. Yako mengi sana.. Yapo mpaka ya marehemu zungu[emoji16]View attachment 2069345
Samia atawashangaza,ngoja wamu underestimate tu,,Hayo mashambulizi mbona hawakuyaelekeza kwa mwamba wa chato, tha late JPM..?.
Mbaya zaidi wakawa wanayakimbia maandamano waliotisha wenyewe kuanzia UKUTA na yake ya LISSU yasiyokuwa na kikomo baada ya uchaguzi...
Mnasahau baada tu ya uchaguzi jamaa mbio ubalozi wa Ujerumani...
Bila shaka mpaka march Serikali itakuwa imemhakikishia usalama wake....hahahaha
Awamu tano nchi ilkuwa chini ya Mshamba....Mswahili kupewa nchi ni Uswahili mtupu
Huyu si yuko gerezani au keshatoka?Ongezea na huyu,
Park geun-hye pale South Korea
😂😂😂😂😂Hivi ile fimbo yake aliyomtwanga nayo yule mshindani wake si bado anayo??? Awe anatembea nayo kabisa kwani ni wazi washindani wake wameongezeka.
Acha siye tufaudu mipasho ya pwani tena kwa sauti nyororoooo tamu inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Mama anakurembulia jicho huku anakumaliza...oooooh Kasim!....! Astakafiru.[emoji1550][emoji1550][emoji1550]Huyu si yuko gerezani au keshatoka?
Kila nchi na historia, mila na muktadha wake. Kumlinganisha Hangaya wetu na akina Thatcher na Merkel ni kumwonea tu. Acha siye tufaudu mipasho ya pwani tena kwa sauti nyororoooo tamu inayoweza kumtoa nyoka pangoni. Mama anakurembulia jicho huku anakumaliza...oooooh Kasim!
nikaona na kidogo mikono inashuka kiunoni inapanda nikajua tayari mzimu wa mwajuma wa buza umeingia ni spana tu[emoji23]nikaona na kidogo mikono inashuka kiunoni inapanda nikajua tayari mzimu wa mwajuma wa buza umeingia ni spana tu,ila usicheze na mwanamke asee hawawezi kukaa na kitu almost dakika 10 anarusha atomic tu kwa kipara. Angekuwepo pale angezimia asee mtu mzima na akili zake anakaa anaargue huko hahah nchi hii.
Kidogo nidhani nipo insta kwa mange anamchamba zarina. Sasa katelephone nae vipi maana kapunyuliwa na mkasi kakunja mikono tu hakuna cha MH wala nini ni huko kwa katelephone hajatumia hata neno ndugu.
Kwa iyo season ya slowslow iliisha au!?Star wa season hii ni Ndugai atakuja hata mwisho wa season.