alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Uchaguzi wa Kikanda ndani ya Chadema umedhihilisha bayana kwamba makundi yapo na imefikia hatua hata Mwenyekiti wa Chama hicho inaelekea yameanza kumshinda na hata yeye amekiri hilo.
Kwa mfano,uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini umekuwa na makundi yanayohatarisha usalama na uimara wa Chama na hali hiyo imempelekea Mbowe kuandika waraka wa tahadhari na kuutuma kwenye Kanda akihadharisha mgawanyiko unaosababishwa na Viongozi na wagombea wa nyadhifa mbalimbali kuendekeza makundi yasiyo na afya katika mustakabali wa Chama.
Katika hali inayoonyesha Chama hicho kinaugulia makundi ndani ya Chama hivi sasa hata UCHAGUZI WA VUONGOZI KANDA YA KASKAZINI UMEAHILISHWA BAADA YA KUONEKANA HALI SI HALI!
Mwenyekiti Mbowe yupo huko kanda ya Kaskazini angalau kujaribu kuweka mambo sawa.
Mytake;Mficha maradhi ugonjwa humuumbua!
credit:Mwananchi.
Kwa mfano,uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini umekuwa na makundi yanayohatarisha usalama na uimara wa Chama na hali hiyo imempelekea Mbowe kuandika waraka wa tahadhari na kuutuma kwenye Kanda akihadharisha mgawanyiko unaosababishwa na Viongozi na wagombea wa nyadhifa mbalimbali kuendekeza makundi yasiyo na afya katika mustakabali wa Chama.
Katika hali inayoonyesha Chama hicho kinaugulia makundi ndani ya Chama hivi sasa hata UCHAGUZI WA VUONGOZI KANDA YA KASKAZINI UMEAHILISHWA BAADA YA KUONEKANA HALI SI HALI!
Mwenyekiti Mbowe yupo huko kanda ya Kaskazini angalau kujaribu kuweka mambo sawa.
Mytake;Mficha maradhi ugonjwa humuumbua!
credit:Mwananchi.