Nyakati hazifanani Mchonga sio HangayaCcm ilishapita kote huko,, it is notnig issue,
View attachment 2068831
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huyu mzee sijui kama leo atalala usingizi upite!Mh! Photoshop au ni og?
Maana teknilojia sasa hivi ni ya kuogooa kama ukoma!
Wakati akiungama jana aliwalaani watu kumhujumu kwa kupunguza na kuondoa maudhui ya hotuba aliyotuhumiwa nayo.
Nikawa najiuliza kama huo ndiyo utetezi, mbona former Mwanza Rc Chalamila naye alihujumiwa kwa clip hivyo hivyo, kwa nini hawakujenga hoja kumtetea?
Huyu mzee sijui kama leo atalala usingizi upite!

🤣🤣Wamama woyeeeee,hatuwezi ngumi wala mateke...ni neno linakufanya ukae chini 😁😁😁😁
hahahaha,umesema kweli,yani kitu kibaya sana kudharirishwa na mwanamke,ila hakana cha kupoteza pesa kanayo ni vema katulie pembeni katajijengea heshima
Hiyo ni wewe tuMwenye maamuzi ya Nani awe Rais ni wananchi, hii tabia ya kujipa urais mpaka miaka au awamu ijayo inatoka wapi? Watanzania amkeni mkemee Hili
Naipenda JF.😁😁😁
Akapiga na Ndiyooo, Ndiyooo, Ndiyooo zile za Mwalimu!🤔Kusema kweli sijawahi kuona hali ya namna hii kwa watu wakubwa!..
Au ndo kazi ya dipu siteti..??
Namna alivyoitwa katelephone nimeitazama kwa jicho jengine aisee!.
Bi mkubwa alishika vazi lake halafu akaliweka sawa akaisogelea Mike vizuri... Ki body language hichi nilikielewa mambo yanapasuka Sasa😂
Hii haina kujiuzuru aiseeekilichobaki jamaa ajiuzulu tu
Nchi imemshinda na bado anataka aje kuwa mgombea huko mbeleni nchi ya wadangayikaInasemekana kuwa wanaume wote ma Democrats na ma Republican waliungana (japo kwa chini chini) ili kuhakikisha kuwa Hillary Clinton hawi rais. Sasa nimeanza kuwaelewa!
Hana huo uwezo wa kutengua tu uwaziri mkuu ovyoIla kwenye reshuffle Kassim atabaki...
😁😁😁😁