Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,437
Unataka kumchinja nani? Kale katimu kanajifia kenyewe, silaha ya nini? Sipendi kukutembelea magerezaniNipe address nine nikuchukue kwa taarifa yako tu nina panga mkononi.
Unataka kumchinja nani? Kale katimu kanajifia kenyewe, silaha ya nini? Sipendi kukutembelea magerezaniNipe address nine nikuchukue kwa taarifa yako tu nina panga mkononi.
Kasimu Kwa nilimwonea huruma... Nikasikia serikali ya mpito huko bungeni .. KWA AKINA KASIMU...!!!
Hutajwi kwa wadhifa wako
Hutajwi kwa cheo chako
Hutajwi kwa ubini wako
Hutajwi kwa mamlaka yako... Bali unatajwa kwa jina lako la kwanza!...Msg is clear n loud..!
Mteule mtukuka naye kasagiwa kunguni mbele ya kadamnasi....Jobo kasemwa, kasimangwa na kutukanwa kiutu uzima lakini kwa njia ya kudhalilishwa kabisa...Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuona mtu mkubwa wa wadhifa na cheo kikubwa akisemwa kama mtoto mdogo aliyekosea sana mbele za wageni.. Kimsingi amemalizwa..!
Fukoto huko ndani lilikuwa kubwa lakini hatimaye limepata pa kupumulia... Kati ya mengi aliyoambiwa kubwa ni usumbufu wa KIJANI mwenzake! Hajayajwa lakini 1 + 1 = na 11 (JoKa)?
Kipenga kimepulizwa rasmi..sio fununu tena, makundi yako bayana, mpasuko uko bayana...Mbio za 2025 zimefichuliwa rasmi...!
Pengine hekima ingewaongoza wote wakae kimya wasitoke hadharani.. Waitane huko huko ndani lakini imethibitika hilo halingewezekana kutokana na fukuto linalotokota huko kijanini ..
Kifuatacho sasa ni moto kukolezwa na chawa wa kila upande...kama bado hujajua hali ilivyo mbaya subiri wapate msiba wa mwenzao...
Mshtuko wangu ni kitu kizito alichopigwa nacho katelephone! Ni mipasho ya viwango vyake kwa Jobo... Wallah bimkubwa anajua kusimanga!!! Unaweza kuumwa kabisa
Sasa tusubiri season 3...!
![]()
Mie Angel, Angel kweli. Mpole mwenyeweNikikosea usije ukanisimanga kama vile loh...![]()
Hivi bado unanipenda kama zamani?Mie Angel, Angel kweli. Mpole mwenyewe
Ila kwenye reshuffle Kassim atabaki...Kasimu Kwa nilimwonea huruma
Hao kwa sasa wapo kwenye mstari mwekundu muda wowote maji yana mwagika.Huko kwenye katiba Chifu Hangaya aliona aya inayoelezea wabunge wasio na chama bungeni?
Yupo mdau Alisha mtabiria kitanzi😅munishi alisema mama mswahili,unapigwa maneno mpaka unakaa, muangalieni jobo asijitundike
Aha haha ha haaaaa. Babu weweHivi bado unanipenda kama zamani?
Sasa hilo ndilo jibu?Aha haha ha haaaaa. Babu wewe
Aliendaje huko aliko?Ngoja March ifike mzee Lisu akitia mguu Tz mama atajua hajui...nafikiri atatafuta na bendi ya taarabu kutoa vichambo.
Hahaa nikadhani ni peke yangu alivyofanya vile nikajisemea mmmh this is personal sasa. Mpaka kujiset vile.Kusema kweli sijawahi kuona hali ya namna hii kwa watu wakubwa!..
Au ndo kazi ya dipu siteti..??
Namna alivyoitwa katelephone nimeitazama kwa jicho jengine aisee!.
Bi mkubwa alishika vazi lake halafu akaliweka sawa akaisogelea Mike vizuri... Ki body language hichi nilikielewa mambo yanapasuka Sasa![]()
Ndugai mgogo hawa hawana aibu atakomaa hapo hapo pengine wampokonye kadi!!! Angekuwa MNYALU kwa kudhalilishwa namna hiyo na mwanamke angejitundika!!! Wenzie wangemwambia SWELA!
By the wajumbe hawakumchagua,mapema Sana kilio cha Mbowe Mungu anaanza kukijibu... Nikasikia serikali ya mpito huko bungeni .. KWA AKINA KASIMU...!!!
Hutajwi kwa wadhifa wako
Hutajwi kwa cheo chako
Hutajwi kwa ubini wako
Hutajwi kwa mamlaka yako... Bali unatajwa kwa jina lako la kwanza!...Msg is clear n loud..!
Mteule mtukuka naye kasagiwa kunguni mbele ya kadamnasi....Jobo kasemwa, kasimangwa na kutukanwa kiutu uzima lakini kwa njia ya kudhalilishwa kabisa...Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuona mtu mkubwa wa wadhifa na cheo kikubwa akisemwa kama mtoto mdogo aliyekosea sana mbele za wageni.. Kimsingi amemalizwa..!
Fukoto huko ndani lilikuwa kubwa lakini hatimaye limepata pa kupumulia... Kati ya mengi aliyoambiwa kubwa ni usumbufu wa KIJANI mwenzake! Hajayajwa lakini 1 + 1 = na 11 (JoKa)?
Kipenga kimepulizwa rasmi..sio fununu tena, makundi yako bayana, mpasuko uko bayana...Mbio za 2025 zimefichuliwa rasmi...!
Pengine hekima ingewaongoza wote wakae kimya wasitoke hadharani.. Waitane huko huko ndani lakini imethibitika hilo halingewezekana kutokana na fukuto linalotokota huko kijanini ..
Kifuatacho sasa ni moto kukolezwa na chawa wa kila upande...kama bado hujajua hali ilivyo mbaya subiri wapate msiba wa mwenzao...
Mshtuko wangu ni kitu kizito alichopigwa nacho katelephone! Ni mipasho ya viwango vyake kwa Jobo... Wallah bimkubwa anajua kusimanga!!! Unaweza kuumwa kabisa
Sasa tusubiri season 3...!
![]()