Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,154
- 831,823
- Thread starter
- #21
"Wakati mmenikabidhi huu mzigo, nilianza kusikia lugha zinasema serikali ya mpito, serikali ya mpito bungeni huko kwa kina Kassim. Nikarudi kwenye Katiba kuangalia serikali ya mpito imeandikwa wapi...sikuona. Nikasema 'anhaa, twendeni.'"-Navuta zangu pop corn naongeza sauti naangalia movie ya kutisha ya mauaji ya kimbari ya ma nzi ya kijani
munishi alisema mama mswahili,unapigwa maneno mpaka unakaa, muangalieni jobo asijitundike

