Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sijui umri wako lakini kwa watu wazima kinachosemwa ni muhtasari ya mengi yaliyo kwenye maudhui. Kwangu mimi najua hatasalia hata masalia mmoja ndani ya CDM. Siyo kwa sababu Chadema ni wazuri sana kupambana na changamoto, bali ni kwa sababu msingi wao wa ukweli utanabahi unatoa fursa kubaini mambo mengi.

Kwenye uongozi kuna msingi wa mwongozo wa kutathmini hali (situation) unaitwa SWOT naamini unaujua. Nikianzia mwisho kwenye T CDM wanazisimamia kikamilifu Trends, O wanabaniwa sana, W wanazigeuza kuwa O, S yao ni kuaminika na umma. Niambia masalia watakatiza wapi.

Si vizuri kukukumbusha kuwa M<wigulu, Michuzi, Masalia, Ludo, Lwakatare ni watu siyo masuala/issues. Tulia jikite na issues kesi ya ugaidi, video, mahakama, polisi, CCM, TISS nk.

Nikijikita hapo hapo kwa SWOT, sidhani kama Weakness na Threat za CHADEMA zinakuwa identified kwa wakati muafaka na kufanyiwa kazi. Nafikiri kama chama kingekuwa kinafahamu Weakness zake vizuri, hata Threat isingekuwa inafikia kiwango hiki ambacho kwa sasa kinatumia muda mwingi kukabiliana nayo huku mambo mengine yakiwa yamesimama au yame slow down.

Ni vigumu sana kupata picha kamili ya damage kwenye chama inayosababishwa na matukio kama haya. May be, matukio kama haya yanaweza kuwa advantage kwa CHADEMA. Who knows, ukichukulia siasa za kwa Tanzania hazitabiliki.
 
In law and legal issues Pasco is a Dwarf who thinks that he knows better than Prof Safari and Tundu Lisu, I am not sure to what extent has he practiced law because the last time I checked he was a freelance Journalist
He once tried to study Law at UDSM but he failed and discontinued. And now a failed law student is teaching experienced Advocates what he failed.
 
kivuitu ametangulia mbele ya haki mkuu

.
Maskini wale wanaotumiwa kama kondom na wanasiasa hawajajua kuwa mara tu baada ya kufanikisha walichotumwa kinachofuatia ni mipango ya kuondoa ushahidi kwa kuwaua.
Duh! R.I.P Kivuitu.
.
 
Kwa ushahidi huo hapo juu
kwenye main post, huyu naye anastahili kuhojiwa. Anaonekana ni mmoja
kati ya watu walioufahamu vizuri mchezo uliokuwa unachezwa. Na hapa
akamtaja mtu kwa madai amesikia sauti yake kwenye video. Hii inapatikana
hapa:


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...apa-lwakatare-alikuwa-anamaanisha-nini-4.html


Hii ni posti namba 77:


Na hii ni posti namba 87:


Posti namba 91 anataka ziwekwe video zote. Anazijua?

Nilijua tu huyu hawezi kukosekana kwenye hii ngoma. Kama polisi wanataka ushahidi basi hawatakiwi kumwacha huyu bila kumhoji.
 
Hii ikitokea itakata mzizi wa fittina.
Wana JF!
Nimebahatika kuongea na moja ya mawakili wanaomtetea Lwakatare, akaniambia moja ya mashahidi wanaompango wa kuwatumia ni Mwigulu Nchemba ambapo watamtaka aelezee hiyo video yake aliyosema tar. 29/12/2012, ndiop hiyo iliyoko polisi au la! Vilevile mawasiliano yao ya karibu na Ludovick Joseph kuanzia Facebook (kumbuka hawa nimarafiki ktk FB) hadi simu walizokuwa wakipigiana vitawekwa hadharani kwa ajili ya cross qns.
Vilevile wanaangalia uwezekano wa kuomba kuundwa kwa mahakama ya Coroner kuchunguza vifo vyote na utekaji wenye utata uliotokea siku za karibuni hapa TZ .

My take!
Mwisho wa hili sakata kuna watu wanaweza umbuka kuliko ilivyokuwa imedhaniwa.



Neno la leo;

It is what we think we know already often prevents us from learning.

By Mpigania Uhuru.

It is what
 
Mwigulu hana busara ya kutosha kusimama mahakamani.atatamka vitu vitakavyomtengenezea kesi.I know him
Ninawasiwasi kama hata Mwigulu mwenyewe kama anafahamu kitu alichocheza nacho kwamba kina maafa kiasi gani kwake mwenyewe,familia yake na Taifa kwa ujumla.Labda ni ile kujiona kujua sana kila kitu mwisho wa siku unaangukukiwa na nyumba mbovu.
 
Mwigulu anajidai mafia lazima ataumbuka kuna cd inametengenez kama ya lakwatare hii ni ya wassira wakipanga utekaji wa ulimboka.

Mimi nitapeleka mahakamani kedi hiyo kesi halafu LENGIO utakuwa shahidi wangu wangu namba moja.
 
kipindi alichobakiza kikwete kuwa madarakani ni kirefu kuliko tulikotoka,kweli tutaona mengi sana
 
Hueleweki hata unataka kusema kitu gani umebaki kulalama tu alimradi unaandika kwa kujiridhisha, nyie subirini tu muone mabosi wenu wanavyoumbuka.

Huwezi kunielewa kwa sababu unasoma post yangu kwa jicho moja. Haina tatizo hata kama hukunielewa. Sikutegemea kila atakayesoma post yangu atanielewa. Thanks for reading.
 
Mbona wanasheria hawasemi ile video ni fake?

Kama ule mkanda nk genuine basi huo ni ugaidi.
Hawawezi kusema sasa hivi kwa kuwa kesi ya msingi haijaanza haya ni malumbano ya kisheria tuu,. Mtaalamu wa video na mpango wa mzima wa digitali ameshawasili nchini kutoka Ujerumani kusaidia kung'amua ukweli kuhusu mkanda subiri uone watu wanavoaibika, DPP lazima afute hii kesi!!
 
Aliyeandaa mkanda huu ajiandae kwenda mahakamani.amefanya kosa kubwa sana.ku-underestimate nguvu ya Chadema.Chadema si dr slaa na wenzie tunaowaona kwenye tv.Chadema ni umma mkubwa na ndani ya umma huo kuna watu wazito,wasomi,wajinga,matajiri,maskini n.k hawa wanatoa ushauri na kuisaidia bila kujulikana.ni pale penye matatizo ndio utaijua nguvu yao.niliwahi kuwepo ktk mjadala fulani wa watu wa CUF na niliwasikia wakisema 2015 watampigia kura huyo mwenye nguvu ya kuitoa CCM halafu watajuana nae mbele kwa mbele.hii ndio nguvu ya Chadema.unapofikiria kupambana nayo lazima uanalyse vizuri kila kitu.usimfikirie Slaa peke yake.utakurupuka,utajikuta unapambana na sokwe badala ya tumbili na msitu utawaka moto,utajikuta unavuruga nchi badala ya Chadema,utajikuta unanuniwa hadi na marafiki zako wa ndani na nje ya nchi wanaokujua vizuri na wanajua weakness zako,wanajua wawashauri vipi Chadema wakumalize.beware.hizi ni salamu zangu kwenda pale kwa mpangaji magogoni na mtaa wa lumumba.nawashaurini muwe macho msije mkaivuruga nchi.fikirieni kuimaliza Chadema kwa kura tu na si vinginevyo.
 
Chadema ni zaidi ya mtu mmoja. CCM hawateweza kuiua Chedema, wananchi ndio tunaweza. Lwakatare alitegwa akakosa usmart lakini kisheria hakuna kesi hapo. Ushahidi wa kuunga hautasaidia mahakamani. Kubambika kesi ya ugaidi ni ngumu mno kuiprove. Swali la msingi nani aliirekodi hiyo video? Kama ni wanausalama wasingeiweka kwenye Youtube hata kidogo. Na wengemkata baada ya masaa machache kutoka wamrekodi. Siyo kusubiri hadi mwaka mwingine.
 
Mkuu Mpaka Kieleweke,
Kwanza poleni kwa yote!.
Pili mnayo team nzuri sana ya wanasheria, lakini nashauri, mara moja moja, muwe mnasikiliza maoni ya ma layman kama sisi kupitia humu jf.

Nasikitika kuwaambia kitendo cha kufungua kesi kuhoji mamlaka ya DPP, its a wastage of time!. Mamlaka ya DPP haihojiwi na mamlaka yoyote hata rais wa nchi, hawezi kuyahoji, hivyo you are fighting a loosing battle!.

Ni kweli timu yenu ya sheria is a good team, nashauri please seek legal opinion ya best criminal lawyers around, kwa sababu baadhi ya wanasheria wenu ni politiciancs, wajiangalie wasije wakaipoliticise hii kesi kuonekana its a political case, bali muendelee kuipigania iwe abduction na sio terrorisim!.

Mwisho mtake msitake, lazima Chadema kama chama, kitoe statement kuwa whatever mashitaka yanayomkabili Rwakatare, ni yake mwenyewe kama Rwakatare, vingenevyo hali ikiachwa ilivyo, kuna hatari ya jamii kuaminishwa kuwa hayo yaliiyotendeka, yamendwa kwa maelekezo ya chama, hivyo kuja kuwaingiza hata wasiokuwemo!.

Huu ni ushauri wa bure tuu toka kwa layman.

Pasco.

Hivi Pasco Ile kesi yako uliyo gonga mtu kwa pikipiki ukitokea Morogoro akafa, iliishaje?
 
Last edited by a moderator:
Mtoto akililia wembe mpe.

Kwenye sakata nilitegemea Mwigulu awe mmoja wa watu waliopaswa kuhojiwa na Polisi. Tena ilitakiwa pale tu alipotoa tamko kuwa anao mkanda wa viongozi wa chadema wakipanga mikakati ya mauaji nchini. Sielewi kwa nini Polisi hawajamhoji hadi sasa.
 
Back
Top Bottom