i now understand what you have been smoking.........reefer
Wat I think ccm wanafanya at the moment ni so obvious,Sasa mbivu na mbichi nje nje.
ili swali naona litakuwa gumu sana kwa uyu jamaa Mwigulu wa nchemba iyo video clip ndo uliosema ndo hii? au sio nyenyewe hapo sasa ni swali mmoja lakini yanyongeza yapo kama 50 hivi.
Hueleweki hata unataka kusema kitu gani umebaki kulalama tu alimradi unaandika kwa kujiridhisha, nyie subirini tu muone mabosi wenu wanavyoumbuka.Maelezo ya Wanasheria hapa yanakuwa na CONTRADICTION kama Ludovick ndiye aliye record au alikuwa masterlminder wa hii saga otherwise kama Ludovick ni mtu wa TISS.
Haiwezekani mtu wa TISS akarecord bila kumshirikisha Ludovick kama kweli Ludovick alikuwa ana mission hiyo na Mh. Mwigulu.
Tumpeleke alikoenda Mr KIVUITU
Nia yao siyo hicho kinachoelezwa na wanasheria bali ni udhalilishaji wa makusudi. ni kama mtu akuvue nguo kwa makusudi halafu aite watu wengine akishangilia ulivyo na akicheka!! maccm noma!!
Mwigulu anajidai mafia lazima ataumbuka kuna cd inametengenez kama ya lakwatare hii ni ya wassira wakipanga utekaji wa ulimboka.
Mwenzenu aliropoka ili ajiongezee umaarufu, wala hakujua kama yangekuwa hayoo.
Kama haijalishi video ilipatikanaje wakati ndio evidence wanayoitumia sasa watamshitaki kwa base ipi, wamlazimishe kwa nguvu kuwa alitamka hayo? Kwanza Mahakama lazima ijiridhishe with no doughts kuwa ile video ni genuine na matamshi yote yalitamkwa na mhusika na kazi hiyo inatakiwa ifanywe na waliomshitaki (polisi) vinginevyo ile kesi itakwisha kwa nusu saa kama anavyosema Lissu.Mtahangaika sana ila sheria itachukua mkondo wake. SWALA LA MSINGI NI KWANINI APANGE KUTEKA WATU NA KUWAPA WATU DAWA ZA USINGIZI? HAIJALISHI VIDEO IMEPATIKANAJE. ILA NI KWANINI APANGE HAYO?
Mbona wanasheria hawasemi ile video ni fake?
Kama ule mkanda nk genuine basi huo ni ugaidi.
Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!