Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Aibu hii haikwepeki kwa CCM,MWENYEZI MUNGU LAZIMA Awalipe kwa unyama huu!........ Watanzania tumeelewa mchezo mzima na hatubadilishi msimamo wetu! Msimamo wetu ni kuiondoa CCM madarakani kupitia sanduku la kura!.......... Chadema wawe magaidi wasiwe magaidi lazima CCM IONDOKE MADARAKANI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu Mpaka Kieleweke,
Kwanza poleni kwa yote!.
Pili mnayo team nzuri sana ya wanasheria, lakini nashauri, mara moja moja, muwe mnasikiliza maoni ya ma layman kama sisi kupitia humu jf.

Nasikitika kuwaambia kitendo cha kufungua kesi kuhoji mamlaka ya DPP, its a wastage of time!. Mamlaka ya DPP haihojiwi na mamlaka yoyote hata rais wa nchi, hawezi kuyahoji, hivyo you are fighting a loosing battle!.

Ni kweli timu yenu ya sheria is a good team, nashauri please seek legal opinion ya best criminal lawyers around, kwa sababu baadhi ya wanasheria wenu ni politiciancs, wajiangalie wasije wakaipoliticise hii kesi kuonekana its a political case, bali muendelee kuipigania iwe abduction na sio terrorisim!.

Mwisho mtake msitake, lazima Chadema kama chama, kitoe statement kuwa whatever mashitaka yanayomkabili Rwakatare, ni yake mwenyewe kama Rwakatare, vingenevyo hali ikiachwa ilivyo, kuna hatari ya jamii kuaminishwa kuwa hayo yaliiyotendeka, yamendwa kwa maelekezo ya chama, hivyo kuja kuwaingiza hata wasiokuwemo!.

Huu ni ushauri wa bure tuu toka kwa layman.

Pasco.

Ndugu Pasco

Nafikiri unampandisha sana huyu DPP na sidhani kama ni sahihi. Marejeo yangu ni kesi ya hivi karibuni ya uhamusho huko Zanzibar kuhusiana na kutunga dhamana, nafikiri una kumbukumbu ya hukumu ya mahakama kuu.

Bado Mimi inanishangaza sana video Kama inavyoonekana ikipanga mambo hatari kurekodiwa katika mazingira Yale na mhusika mkuu akifahamu kuwa anarekodiwa na uharaka wa kuwekwa katika mitandao hata kabla vyombo vya kisheria havijachukua hatua! Haya hayaeleweki! Ni nini nyuma ya hii drama? Je wote CCM na CHADEMA au makundi ndani Yao yanahudika kwa faida zao za kisiasa?
 
Hahahahahaha
huwezi kufurahi kuona cdm ina win! Nilijua utakuja na lugha nyingine tuu! Hivi unataka kusema hii case haina politics cells? Sishangazwi na maneno yako na ushauri wako wa kinafiki! Hakuna asiyekujua!
Hahahahaha
Umenichekesha sana kuitenganisha hii case na siasa!

Kutenganisha hii case na politics ni utovu wa nidhamu! Lets see najua utakuja na maneno mengine!

Huwezi kumtenganisha lwakatare kwenye hii case na chadema hata mara moja na ushindi wa lwakatare utakuwa wa chadema maana tunajua fika hii ni mbinu ya kuichafua cdm kupitia lwakatare!
Lets wait and see!
Mkuu Mpaka Kieleweke,
Kwanza poleni kwa yote!.
Pili mnayo team nzuri sana ya wanasheria, lakini nashauri, mara moja moja, muwe mnasikiliza maoni ya ma layman kama sisi kupitia humu jf.

Nasikitika kuwaambia kitendo cha kufungua kesi kuhoji mamlaka ya DPP, its a wastage of time!. Mamlaka ya DPP haihojiwi na mamlaka yoyote hata rais wa nchi, hawezi kuyahoji, hivyo you are fighting a loosing battle!.

Ni kweli timu yenu ya sheria is a good team, nashauri please seek legal opinion ya best criminal lawyers around, kwa sababu baadhi ya wanasheria wenu ni politiciancs, wajiangalie wasije wakaipoliticise hii kesi kuonekana its a political case, bali muendelee kuipigania iwe abduction na sio terrorisim!.

Mwisho mtake msitake, lazima Chadema kama chama, kitoe statement kuwa whatever mashitaka yanayomkabili Rwakatare, ni yake mwenyewe kama Rwakatare, vingenevyo hali ikiachwa ilivyo, kuna hatari ya jamii kuaminishwa kuwa hayo yaliiyotendeka, yamendwa kwa maelekezo ya chama, hivyo kuja kuwaingiza hata wasiokuwemo!.

Huu ni ushauri wa bure tuu toka kwa layman.

Pasco.
 
Kwanza nitoe ufafanuzi ufuatao,
Moja , kuwa Wanasheria wanahoji mamlaka ya DPP sio kweli , wao wanahoji jamo linaloitwa ..abuse of the court....hii ni kutokana na ukweli kuwa hakimu alipaswa kutoa hukumu juu ya kama kuna kesi ya kujibu ama laa, wao serikali wakaamua kufuta kesi namba 37 na kufungua nyingine ambayo kimsingi ni ileile , yaani kesi iliyofutwa ndio ilifunguliwa upya bila kuongezwa hata nukta ama neno lolote jipya , sasa hapo wanatumia hukumu iliyowahi kutolewa na Jaji Mroso wa mahakama ya Rufani kuhusu jambo hili na kuonekana kuwa kama DPP akifuta kesi bila kuzingatia maslahi ya umma ama bila kuonyesha kuwa lengo lilikuwa ni kuonyesha haki inatendeka , basi mahakama inamamlaka ya kuamua juu ya hilo.

Pili, ukisoma kifungu cha 245 (3) CPA utaona mamlaka ya mahakama kuhusu kutoa dhamana ama laa , jamo ambalo wanasheria wanaona kuwa jana kama hakimu angepata mwanya wa kutoa rulling yake basi hilo lingeweza kuamuliwa na akawa nje kwa dhamana halafu mpambano wa kesi uendelee huko mahakamani .

Naitafuta hukumu ya Jaji Mroso kuhusu Nolle , then mjadala utaenda vizuri.

Kuhusu hoja yako kuwa lazima Chadema itoe kauli kuhusiana na jambo hili na unataka iseme kuwa hayo yote ni ya Lwakatare , sio busara kwani kama chama kimewapa wanasheria wake suala hilo na wao wameshaweza kuanza kutoa ushahidi wa wazi jinsi ambavyo hii ni kesi ya kutunga na kubambikiana , sasa unawataka tena chama watoe kauli ya kukubaliana na kubambikiwa kesi kwa Lwakatare na wakina Mwigulu?

Kwa sasa wenye busara wanaweza kuelewa ni mchezo gani ulikuwa unachezwa , na hata kipindi cha star tv siku hiyo nasi,ia tayari kuna nyaraka zimenaswa za kuonyesha nani alihusika kufanya mwaliko wa kipindi na lengo lilikuwa nini , tusubiri muda ukifika itajulikana mbivu na mbichi.

Wapo wanaosema kuwa Dr.Slaa ameumbuka , hawa watakuwa ni majuha tuu , kwani alichosema yeye ni kuwa mkanda ni wa kutengeneza na walichosema leo wanasheria na alichosema Lwakatare polisi ni kuwa ni kwelii amelishwa maneno , sasa hapo kaumbuka vipi? Ni suala la kuelewa content na context tuu hapo.

Hapo kwenye bold... kumbe Star tv nao wanahusika
 
UKiabiwa intelijensia ya chadema ni zaidi ya IKulu wanagwaya gwaya, Gazeti la Mtanzania jana wamesema nusu ya usalama wa taifa wameasi sasa sijui ndio wamehamia chadema kuimarisha kitengo ha ha ha nayaonaje MACCM na master minder uchwara,Mwigulu,Ridhiwani na NAPE nyie mnapasya kuswekwa ndani hima maana munavuruga amani ya nchi


Mkuu usisahau Uraisi wa Awamu hii ulikuwa wa Familia sio wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania-tafuta nukuu hiyo kujiridhisha na kama hiyo haitoshi tafuta list ya wateule wa idara hiyo.Kwa hiyo Taasisi ya UWT ambayo huendeshwa kwa Kodi zetu ilifaa yote iende likizo mpaka Jamaa amalize muda wake.Habari ndiyo hiyo!
 
Ni kifungu gani kitatumika na mahakama kufuta nolle prosequi?

Sidhani kama mahakama ina mamlaka ya kufuta nolle prosequi.

The power to enter nolle prosequi is not subject to any control by the courts.

We nawe ni mwanasheria toka wapi? Unaitia aibu profession yetu mkuu. Kama katika utoaji wa hiyo nolle prosequi haukuwa wa kihalali mtu yeyote mwenye interst anaweza kuiomba mahakama ipitie uamuzi huo kama ulikuwa wa halali, YOU ARE SUPPOSED TO READ THE LAW INTANDEM MY FRIEND
 
what is happening now here in our lovely country Tanganyika?

No sir! We are no longer a lovely country Tanganyika, our innocence was broken in the run up to 1995 general elections. And we became a Mafia State. Have you not had a sense of it yet? Remember what happen to Dr.Uli? And how about Dr. Mwakyembe after he accused the state of an elaborate plan to take his life? Instead of taking people to tak, what happen? The guy was promoted to full Ministerial position. Aren't his finger nails still not black! Last time I checked,when seating on couch watching TV, they still were? With all honest and common sense can you really say the state was not involved in the plan that was meant to extinguish him? Or may be Lwakatare and CHADEMA excecuted this ploy? Ca moon people!! Remember Ramhan Kombe? What happened to the soldiers who killed this an unarmed man? Only one word- Nothing!

Mwigulu Nchema says " I have got these CDs that show CHADEMA planning to kill innocent Tanzanians, and nothing happens;he is not even quizzed by police to find out the truth behind the matter! If we are not a MAFIA state what other good name is there for us? We are a state that lives on and breathes impunity. And of this is because of power hungry, mice-like -with -devil - hornes individuals than munch on our state coffers/resources and they are ready,able to go great length to protect their illegal earned turf. And any one who dares to infringe on their devil given rights is sure to face the music and dance to the tune of what happened to Dr.Mwakyembe- the honorable minister- take this position and keep quiet!!!!!!!!!!!

Impunity is saved at breakfast,lunch and dinner in Tanzania these days and devil has blessed for the MAFIA state that we have become!!
 
Mkuu we ni mshamba sana, yaani una-quote maneno mwenyewe kwamba .......''video imewekewa baadhi ya maneno''......hapo hapo unafurahi eti wamekiri wenyewe kuwa sio fake.......ivi inapobadilishwa baadhi ya maneno inabaki kuwa origino.....we wa wapi aiseee
Nilikuwa naamini kuwa kuna watu ndani ya CCM wana akili timamu ni pamoja na huyu mwana JF mwenzangu Ng'wamapalala lakini nimekuja kugundua huyu jamaa ni kati ya walio jaza mavi kichani...
 
Last edited by a moderator:
Wana JF!
Nimebahatika kuongea na moja ya mawakili wanaomtetea Lwakatare, akaniambia moja ya mashahidi wanaompango wa kuwatumia ni Mwigulu Nchemba ambapo watamtaka aelezee hiyo video yake aliyosema tar. 29/12/2012, ndiop hiyo iliyoko polisi au la! Vilevile mawasiliano yao ya karibu na Ludovick Joseph kuanzia Facebook (kumbuka hawa nimarafiki ktk FB) hadi simu walizokuwa wakipigiana vitawekwa hadharani kwa ajili ya cross qns.
Vilevile wanaangalia uwezekano wa kuomba kuundwa kwa mahakama ya Coroner kuchunguza vifo vyote na utekaji wenye utata uliotokea siku za karibuni hapa TZ .

My take!
Mwisho wa hili sakata kuna watu wanaweza umbuka kuliko ilivyokuwa imedhaniwa.



Neno la leo;

It is what we think we know already often prevents us from learning.

By Mpigania Uhuru.

It is what
 
baada ya tukio la lwakatare mi nilianza ku hisi kitu kuhusu...huyo mwigulu sasa picha linaanza kunoga,wa CHADEMA,tusikubali akili ndogo itawale akili kubwa...kama mbwai na iwe mbwai....
 
Mbona mnapenda kubahatisha mambo? Hizi propaganga tu kwamba dakika zinatofautina? zushi hakuna lolote hapo.

Kijana hoja za kisheria si sawa na kuimba mipasho subiri utaona magamba mtakavyoumbuka
 
Jambo ambalo CCM kupitia Mwigulu & co hawalijui ni kuwa wanaandaa mbinu chafu ambazo ndio zinaipaisha Chadema kwa kasi ambayo kama wasinge fanya mbinu hizo kasi hiyo wasingeifikia.
Baada ya hili ku backfire mioyo ya wengi imejikita Chadema zaidi na kuongeza chuki kwa CCM maana raia wengi wa kawaida wameshawahi kukumbwa na kadhia ya kubambikiwa kesi wao wenyewe au jamaa zao,hivyo hili limewakumbusha machungu.
Asante sana CCM,asante Mwigulu&co kwa kuipaisha Chadema.
 
Mkuu Pasco, sidhani kama kuna kitu cha kisheria unachoweza kukijua wewe wasikijue wanasheia kama Tundu Lissu, Prof. Safari na timu yao.

Mara nyingi statement na ushauri wako kwa chadema hapa JF huwa ni wa mkono wa kushoto. Japo matokeo huja kujidhihirisha yenyewe na wewe kujiprove wrong. Japo huwa ni mgumu kukiri.

I am quite sure TL and team know exactly what they are doing and what they are supposed to do.

In law and legal issues Pasco is a Dwarf who thinks that he knows better than Prof Safari and Tundu Lisu, I am not sure to what extent has he practiced law because the last time I checked he was a freelance Journalist
 
No sir! We are no longer a lovely country Tanganyika, our innocence was broken in the run up to 1995 general elections. And we became a Mafia State. Have you not had a sense of it yet? Remember what happen to Dr.Uli? And how about Dr. Mwakyembe after he accused the state of an elaborate plan to take his life? Instead of taking people to task, what happen? The guy was promoted to full Ministerial position. Aren't his finger nails still not black? Last time I checked,when seating on couch watching TV, they still were. With all honest and common sense can you really say the state was not involved in the plan that was meant to extinguish him? Or may be Lwakatare and CHADEMA executed this ploy? Ca moon people!! Remember Ramhan Kombe? What happened to the soldiers who killed this unarmed man? Only one word- Nothing!

Mwigulu Nchema says " I have got these CDs that show CHADEMA planning to kill innocent Tanzanians, and nothing happens; he is not even quizzed by police to find out the truth behind the matter! If we are not a MAFIA state what other good name is there for us? We are a state that lives on and breathes impunity. And this is because of power hungry, mice-like -with -devil - horns individuals than munch on our state coffers/resources and they are ready, able to go to great length to protect their illegal earned turf. And anyone who dares to infringe on their devil given rights is sure to face the music and dance to the tune of what happened to Dr.Mwakyembe- the honorable minister- take this position and keep quiet!!!!!!!!!!!

Impunity is saved at breakfast, lunch and dinner in Tanzania these days and the devil has blessed us for the MAFIA state that we have become!!
 
Back
Top Bottom