NAPITA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,077
- 2,248
Wana JF!
Nimebahatika kuongea na moja ya mawakili wanaomtetea Lwakatare, akaniambia moja ya mashahidi wanaompango wa kuwatumia ni Mwigulu Nchemba ambapo watamtaka aelezee hiyo video yake aliyosema tar. 29/12/2012, ndiop hiyo iliyoko polisi au la! Vilevile mawasiliano yao ya karibu na Ludovick Joseph kuanzia Facebook (kumbuka hawa nimarafiki ktk FB) hadi simu walizokuwa wakipigiana vitawekwa hadharani kwa ajili ya cross qns.
Vilevile wanaangalia uwezekano wa kuomba kuundwa kwa mahakama ya Coroner kuchunguza vifo vyote na utekaji wenye utata uliotokea siku za karibuni hapa TZ .
My take!
Mwisho wa hili sakata kuna watu wanaweza umbuka kuliko ilivyokuwa imedhaniwa.
Neno la leo;
It is what we think we know already often prevents us from learning.
By Mpigania Uhuru.
It is what
ili swali naona litakuwa gumu sana kwa uyu jamaa Mwigulu wa nchemba iyo video clip ndo uliosema ndo hii? au sio nyenyewe hapo sasa ni swali mmoja lakini yanyongeza yapo kama 50 hivi.