Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Definitely asingesema kinyume na hivi ndio ingekuwa habari, wanasheria wanatetea waharifu siku zote na mtu kutoka au kusota lupango pia sio kigezo cha kusema alifanya au hakufanya. Ukweli utabaki kuwa video ya kwanza mngemuacha mwenyewe alierecord ndio ajitete mbele ya watanzania. Kwa aliyosema alipaswa kukamatwa hata serikali ingekuwa chini ya Lissu and etal.
Na chama kiendelee kuwa chama na msimamo wa mawakili hawa uwe tofauti na chama chao. Je wanalipwa na chama kwa kazi hii!

Walioweka sheria hawakuwa wajinga, video sawa tunamuona Lwakatare anaongea lakini aliongea akiwa na nia gani.
1. Inawezekana alitaka kumdhuru Msacky

2. Inawezekana Ludo alimwambia Lwakatare wanachotafuta akina Mwigulu Nchemba na Msacky hivyo wakaamua kurekodi video kwa kuangalia ni sheria zipi watazitumia mahakamani incase akikamatea. Wote walitaka kucheza propaganda.
3. Kulingana na maelezo ya Lissu, inawezekana Ludovick alimuingiza jamaa mkenge ili tu apate video, sheria zitaangalia je alikuwa na hiyo nia kabla hata ya Ludo kumfata, na je Ludo ana mafunzo gani kumchezea mtu saikolojia na kumpoteza aseme unachomuelekeza ( soma jinsi polisi wanavyohoji jambazi mpaka anakiri kosa au soma yule jamaa aliyemuua rais kennedy wa marekani.)
4. Mkanda una karibu miezi miwili na nusu umerekodiwa kwanini usingetolewa mapema, je kuna uwezekano wa kuhariri video? Je kuna vitu vimeyolewa pengine mwanzo alisema ngoja tuwachezee akili hawa watu.
5. Je polisi wanazo karatasi original alizoandika lwakatare au wame pause video youtube wakaprint. Kwanini? Isije ikawa ni hao hao akina lwakatare wanacheza propaganda
6. Tuiachie mahakama iamue. Akishinda mahakamani bado mahakama ya umma kwenye masanduku ya kura
 
Video ya lwakatare ni ya kweli na ni halisi - wataalam, zaidi soma mtz ya leo j2

Wataalam wanakinzana na ndo hapo mahakama itasema permissible evidence. Ila kuna mmoja nampinga moja kwa moja anayesema kutengeneza video ionekane ni ya kweli ni gharama, kumbuka imetoka baada ya miezi miwili na nusu toka irekodiwe na kama watu walikuwa na nia ya propaganda ya kisiasa inawezekana kabisa na gharama wanazimudu. Kuhusu ubora mimi niko US sijaona concealed camera yoyote ya kipelelezi imetoa picha namna hiyo. Kuna uwezekano Lwakatare alikuwa anajua na yeye akataka kutengeneza propaganda ila akakosea akaifanya ionekane kweli na kuongea mambo mazito, pengine anabackup anayosema nia yake kusema vile siku iyoiyo kamera ileile mkanda uleule
 
Mshombsy, uchambuzi wako pia uwe unatoka kwa watu wote bila kujali wanatoka vyama gani manake humu angekuwa mtu mwingine msingempa fursa ya kutazama vipengele vyote. Bado uchambuzi wako katika point 6 ulizotoa hoja ya msingi umeipa uzito mdogo, kuwalia timing na kuwapasua wenzake ndio hoja ya msingi video ni sehemu ya ushahidi. Nakubaliana kabisa na wewe mahakama iachiwe itoe maamuzi, ila maelezo ya Lissu ndio wanasheria wanavyoundaga hoja kutetea wahalifu na ndio maana uhalifu hautakwisha. Ingekuwa kwetu sie Lwakatare tungemsesema tu na angesema kama ni sinema au real mwenyewe, kwenye mkutano wa wazi atasamehewa kama atakili na kutubu. Atakula kipigo na atapitishwa mitahani kote na sungusungu wanasimamia show yote.
Walioweka sheria hawakuwa wajinga, video sawa tunamuona Lwakatare anaongea lakini aliongea akiwa na nia gani. 1. Inawezekana alitaka kumdhuru Msacky 2. Inawezekana Ludo alimwambia Lwakatare wanachotafuta akina Mwigulu Nchemba na Msacky hivyo wakaamua kurekodi video kwa kuangalia ni sheria zipi watazitumia mahakamani incase akikamatea. Wote walitaka kucheza propaganda. 3. Kulingana na maelezo ya Lissu, inawezekana Ludovick alimuingiza jamaa mkenge ili tu apate video, sheria zitaangalia je alikuwa na hiyo nia kabla hata ya Ludo kumfata, na je Ludo ana mafunzo gani kumchezea mtu saikolojia na kumpoteza aseme unachomuelekeza ( soma jinsi polisi wanavyohoji jambazi mpaka anakiri kosa au soma yule jamaa aliyemuua rais kennedy wa marekani.) 4. Mkanda una karibu miezi miwili na nusu umerekodiwa kwanini usingetolewa mapema, je kuna uwezekano wa kuhariri video? Je kuna vitu vimeyolewa pengine mwanzo alisema ngoja tuwachezee akili hawa watu. 5. Je polisi wanazo karatasi original alizoandika lwakatare au wame pause video youtube wakaprint. Kwanini? Isije ikawa ni hao hao akina lwakatare wanacheza propaganda 6. Tuiachie mahakama iamue. Akishinda mahakamani bado mahakama ya umma kwenye masanduku ya kura
 
Kwanini amefuta mashitaka na kuyafungua yale yale....alifanya hivyo kwa lengo la kuizuia mahakama kutoa uamuzi, amefanya hivyo na kitendo hiki ni kuingilia uhuru wa mahakama ....ndicho tunakilalamikia

Na malalamiko haya lazima yafikishwe kwa wananchi kwa maandamano...
 
Tundu Antipas Lissu amedai Mwigulu nchemba na ludovick walikuwa na mawasiliano tar.28.12.12 saa 5 na dakika 55.
Swali.Mawasiliano ya mwigulu na Ludovick yanaathari gani?yana iondoaje chadema kwenye sakata la Ugaidi.
Lissu huoni kama mwigulu anakuwa shujaa amelisaidia jeshi la polisi na usalama wa Taifa kunasa michezo michafu ya chadema kupitia kijana wa chadema Ludovick.
Mwigulu ametumia mbinu zake tena kwa kumtumia kijana wa chadema wa ndani kabisa kupata Ugaidi wa chadema.
Mwigulu ni shujaa!
 
Tundu Antipas Lissu amedai Mwigulu nchemba na ludovick walikuwa na mawasiliano tar.28.12.12 saa 5 na dakika 55.
Swali.Mawasiliano ya mwigulu na Ludovick yanaathari gani?yana iondoaje chadema kwenye sakata la Ugaidi.
Lissu huoni kama mwigulu anakuwa shujaa amelisaidia jeshi la polisi na usalama wa Taifa kunasa michezo michafu ya chadema kupitia kijana wa chadema Ludovick.
Mwigulu ametumia mbinu zake tena kwa kumtumia kijana wa chadema wa ndani kabisa kupata Ugaidi wa chadema.
Mwigulu ni shujaa!
Tupo hapa tulipo kwa sababu ya watu wa aina yako. Isitoshe, swala hili lipo mahakamani hivyo si haki kulijadili au kulitolea hukumu hapa.
 
Tundu Antipas Lissu amedai Mwigulu nchemba na ludovick walikuwa na mawasiliano tar.28.12.12 saa 5 na dakika 55.
Swali.Mawasiliano ya mwigulu na Ludovick yanaathari gani?yana iondoaje chadema kwenye sakata la Ugaidi.
Lissu huoni kama mwigulu anakuwa shujaa amelisaidia jeshi la polisi na usalama wa Taifa kunasa michezo michafu ya chadema kupitia kijana wa chadema Ludovick.
Mwigulu ametumia mbinu zake tena kwa kumtumia kijana wa chadema wa ndani kabisa kupata Ugaidi wa chadema.
Mwigulu ni shujaa!

Mawasiliano yana hathari, inawezekana Lwakatare hakuwa na lengo kichwani mwake kumdhulu mtu ila mipango ya Mwigulu Nchemba, Ludovick na Msacky ndo imefanya yatokee, inawezekana Ludovick anamjua vizuri Lwakatare kamfuata kamchanganya kisaikologia kampa mipango na Lwakatare akaanza kutiririka huku Ludo akirekodi. Ndio maana watu wanataka mkanda mzima inaonekana umekatwa.
Hii haiondoi kwamba uwa lwakatare anafanya hivyo au ndo siku yake ya kwanza.
Kubali tu kwamba kuna watu wanauwezo wa ku manipulate watu: ndio maana kuna madikteta wametawala miaka mingi
 
Back
Top Bottom