Sakata la BANDARI ZETU na DPW linataka kuliingiza Taifa kwenye umwagaji wa damu!?

Samia kama alikuwa na nia njema na sio ovu angewapa Waarabu TTCL na kisiwa cha Pemba ambapo kuna umasikini wa hali juu. Samia hana nia njema na Bara nashangaa sana akina Kitenge na mkuu wa nyumba ya mbumbumbu kuona ni sahihi kuitoa Bandari zote kwa Waarabu huu ni ujinga wa hali ya juu.
 
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss Mshana,tupe mtizamo wako kuhusu ishu hii ya DP World,je,kuna manufaa kweli kwenye ule mkataba? (Naamini wewe ni mzalendo hivyo huwezi kuongopa).
 
Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu
SERIKALI imeagiza vyombo vishungulike kikamilifu na Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na Wakili huyo kudaiwa kutoa matamshi yanayohatarisha amani nchini.

Agizo hilo la Serikali limetolewa leo tarehe 9.7.2023 na Katibu Tawala wa Wilaya ya Busega, Japhari Kubecha ambapo pia amekiagiza Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kuchunguza kwa kina uhalali wa muhuri wa wakili huyo.

Katika siku za karibuni Wakili Mwabukusi amekuwa akitoa matamshi mbalimbali kuhusu mkataba wa bandari na tayari ameshafikisha shauri hilo Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya.

"Naomba chama cha Wanasheria Tanganyika TLC wachunguze kwa kina Uhalali wa Muhuri wake,Huyu wakili hakuna wakili wanamna hii... wapo wanasheria wabobezi wametoa maoni yao tena wakiwa Kintume na serikali lakini hawakufikia kiwango hiki cha Kuvunja Utu wa watu,Umoja wa Kitaifa,Amani na Mwenendo wa Nchi.

Vyombo vishughulike kikamilifu juu ya Mtu huyu" amesema Kiongozi huyo wa Serikali, Japhari Kubecha.
 
Wewe mtu wa Same unahoji kuhusu Bandari na wazaramo wahoji nini au yale mamilima yenu yasiyo na faida? Mshamba mmoja unahoji bandari ambayo hujawahi hata kuitumia. Hiki kimbelembele unakipata wapi hasa.
....Akili, Matope, ndugu yangu ? Wewe ni Mtanganyika au Muarabu ?
...Sasa wewe Mzaramo was Pwani una Uchungu Gani na Mlima Kilimanjaro ??
Kweli, Kuna Watu walembashwa Asali
 
Boss Mshana,tupe mtizamo wako kuhusu ishu hii ya DP World,je,kuna manufaa kweli kwenye ule mkataba? (Naamini wewe ni mzalendo hivyo huwezi kuongopa).
Hakuna manufaa ya taifa kuna manufaa ya watu binafsi
JamiiForums1568564137.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!

Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!

Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi

Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo

Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe

Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee

Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...View attachment 2682900

Sent using Jamii Forums mobile app
It is well with thee...Simama na haki na Mungu atakuwa pamoja na kila aliye upande wa HAKI
 
Swali langu ni dogo tu, ikawaje huu mkataba uka leak? Maana mikataba ya nchi hii inafichwaga kusiko julikana
 
Back
Top Bottom