Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Samia kama alikuwa na nia njema na sio ovu angewapa Waarabu TTCL na kisiwa cha Pemba ambapo kuna umasikini wa hali juu. Samia hana nia njema na Bara nashangaa sana akina Kitenge na mkuu wa nyumba ya mbumbumbu kuona ni sahihi kuitoa Bandari zote kwa Waarabu huu ni ujinga wa hali ya juu.