Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

Kama ukifanikiwa kupata pisi kali itakayokushawishi nawe ukaridhia kwa moyo mmoja,,tombana nayo tu hakuna namna Muda/maisha hayarudi nyuma jitahidi kufurahia wakati ulio nao,,,na huko zipo za kumwagika!!ni juhudi zako tu za kula mema ya nchi na kulamba asali kadri uwezavyoo!!
Noma sana!
 
Pitia njia ya Katesh, Mogitu mpaka Sechet (mashamba ya ngano) halafu uende Dongobesh. Madunga, Mang'ola, Dareda Mission, Basodesh, Mbulu, Karatu ni maeneo ya karibu. Unaweza kupitia pia Magugu-Mbuyu wa Mjerumani, Ziwa Manyara-Ukingo, mlima Magara mpaka Mbulu, Basodesh then Dongobesh. Unaweza kupitia Makuyuni Mto wa Mbu, Rotia, Karatu, Mbulu, Basodesh, Madunga then Dongobesh.

Karatu pia ipo karibu sana kwa bata za kiaina.

Maeneo yangu origin pendwa hayo ingawa kwa sasa napambana kimaisha katika mitaa ya Skid Row karibu na West Holiwoody (kambi popote).

Halafu usisahau kutembelea mashamba ya ngano ya Mulbadaw, Murijanda, Gidagamowd, Gawali,Basuto nk.








Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Kweli wewe wapajua

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wa aina hii, nakutana nao Simiyu(Bariadi) nna week tatu sasa , lakini nakutana na mademu wabovu tu... bora nilipopata safari ya Kahama ndo nimekutana na pisi kali....
Mimi nipo Kahama hapa pisi za mtaani mbovu afu wanaringa yaani, ukitaka kuomba namba unaulizwa unakaa nyumba gani wewe duh

labda Club huko siyo mtaani, yaani ukizoea Arusha ukienda sehemu zingine mademu unawaonaje sijui
 
Pitia njia ya Katesh, Mogitu mpaka Sechet (mashamba ya ngano) halafu uende Dongobesh. Madunga, Mang'ola, Dareda Mission, Basodesh, Mbulu, Karatu ni maeneo ya karibu. Unaweza kupitia pia Magugu-Mbuyu wa Mjerumani, Ziwa Manyara-Ukingo, mlima Magara mpaka Mbulu, Basodesh then Dongobesh. Unaweza kupitia Makuyuni Mto wa Mbu, Rotia, Karatu, Mbulu, Basodesh, Madunga then Dongobesh.

Karatu pia ipo karibu sana kwa bata za kiaina.

Maeneo yangu origin pendwa hayo ingawa kwa sasa napambana kimaisha katika mitaa ya Skid Row karibu na West Holiwoody (kambi popote).

Halafu usisahau kutembelea mashamba ya ngano ya Mulbadaw, Murijanda, Gidagamowd, Gawali,Basuto nk.








Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mwenyeji sanaa chief.
 
Back
Top Bottom