Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

Kuna shemej ako hapo mkuu, mtoto wa Kimbulu yuko bomba sana.
Kuna binti nimemuona pembeni ya kibanda cha Tigopesa ni mzuri. Kuna demu nikawa na mzingua anauza sh ngapi akasema elfu 10 nikashangaa,angekuwa dar ndio wale malaya malaya wabei ya juu. Ila huku kuna mabinti wakali na shepu wanazo. Ila ndio hivyo si wengine si wanunuaji.

Ila ndio hivyo leo Kolo FC kanipiga nipo room mwenyewe nakula series.
 
Nipo Babati kwenye Bar ya Manyara Raha Annex kuna pini zinamiminika hapa kutizama mechi ya Simba na Yanga.
Hapo ni pachafu sana. Freetown ipo mbele ya Manyara bar, kiaina aina panafaa. Vi-brother men na vi-sister-duu wanauzia nyago/sura hapo. G-bar nayo imechangamka kiaina.

Maeneo ya Mrara-Hippopotums Hotel panafaa kulala, pana utulivu sana.
 
Hapo ni pachafu sana. Freetown ipo mbele ya Manyara bar, kiaina aina panafaa. Vi-brother men na vi-sister-duu wanauzia nyago/sura hapo. G-bar nayo imechangamka kiaina.

Maeneo ya Mrara-Hippopotums Hotel panafaa kulala, pana utulivu sana.

Freetown kuna watoto wa ukweli hapo? Maana huku bodaboda wanapakubali Olympics na Madevin wanakwambia huko ndio kuna watoto wakali kibao.

Ila huku baa zao nyingi zina outdoor na indoor ambapo kuna mziki na mambo mengine, jana nilienda Uhuru kutizama game ya City, japo wanapasifia ila pakawaida.
 
Sina uzoefu huo lakini Wairaq wana ukabila sana kwenye biashara, isipokuwa miili yao hawabagui wa kumpa...nisamehewe
Nafikiri hizi kashfa hazina uhalisia ukitumia hizi takwimu
 

Attachments

  • 20240221_132111.JPG
    20240221_132111.JPG
    187.2 KB · Views: 32
Back
Top Bottom